SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,862
Tunaona wazi huyu Slaa Ilmu yake ina mushhkeri kidogo kwani inatambuliwa na kanisa pekee. Angukuwa amesomea kwenye vyuo vya umma basi tungeona ni jambo la kawaida kwani amekaa uswahilini na kuona watu wanaishi vipi
- Mnaona? Wewe na nani?
- Kwa hiyo wewe na wenzako mnawatambua waliosoma vyuo vya 'umma' pekee? Ukisoma chuo cha umma ni lazima ukae uswahilini? Je waliosoma nje, private schools/universities nao hamwatambui?
Ataleta amani kweli au ataleta vurugu kama Chadema
Naona kama unachanga mambo hapa! Kwani Chadema "ina ilmu inayotambuliwa na kanisa pekee"?
Nina wasi wasi anaweza kuwa kama Rais Chiluba wa Zambia pale aliposema wazi kuwa Zambia ni taifa la Kikristo.
Kwa hiyo shida yako hapa ni elimu ya Dr Slaa au dini yake? Kwa vyovyote vile, katiba ya nchi yetu haimzuii Dr Slaa kugombea urais wa JMT hata kama PhD yake inatambuliwa na kanisa pekee.