Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,227
Sasa anaehoji elimu inayotolewa na ST yuko ughaibuni au yupo Tanzania.
Ndo shule zinakuwaga nyingi top ten be it o level au a level na hao watu ata mtaani wako bright sana fuatilia bse below 5o wanakutimua ie from form 1 to 6.Ndo maana unakuta dalasa lina watu 32 na wote wanadiv one alafu wote ni Mzumbe au Ilboru.
Kipalapala/Segerea ni theology for 3 up to 4 years ila Kibosho na Ntungamo ni 3 years for philosophy.
Zamani kanisa lilikuwa likitoa ceertificates bse vijana walikuwa wanachapa mwendo hasa baada ya philosophy mtu anaenda anakamua Sheria fuatilia majudge wengi sipendi taja majina yao hasa pale mahakama kuu na court of appeal.Ila kwa sasa wanatoa degree as wamegundua hawa watu pia ni useful wakiwa kama Walei as wote hamuwezi kuwa mapadre.
So with 7 years ie philosophy plus theology leave alone kurudia mwaka sidhani kama unaitaji masters!
Ndo shule zinakuwaga nyingi top ten be it o level au a level na hao watu ata mtaani wako bright sana fuatilia bse below 5o wanakutimua ie from form 1 to 6.Ndo maana unakuta dalasa lina watu 32 na wote wanadiv one alafu wote ni Mzumbe au Ilboru.
Kipalapala/Segerea ni theology for 3 up to 4 years ila Kibosho na Ntungamo ni 3 years for philosophy.
Zamani kanisa lilikuwa likitoa ceertificates bse vijana walikuwa wanachapa mwendo hasa baada ya philosophy mtu anaenda anakamua Sheria fuatilia majudge wengi sipendi taja majina yao hasa pale mahakama kuu na court of appeal.Ila kwa sasa wanatoa degree as wamegundua hawa watu pia ni useful wakiwa kama Walei as wote hamuwezi kuwa mapadre.
So with 7 years ie philosophy plus theology leave alone kurudia mwaka sidhani kama unaitaji masters!