Profile ya Dr Slaa

Status
Not open for further replies.

Barubaru

JF-Expert Member
Apr 6, 2009
7,161
2,323
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960

EMPLOYMENT HISTORY
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992-1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985-1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982-1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982-1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977-1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977-1991

POLITICAL EXPERIENCE

CHADEMA Principal Secretary 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 To date
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch (Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977

Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz
 
Labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr W Slaa anafaa kuitwa Doctor.
wapi kafanya Post Graduate, Masters?

2. najua bila kuna wengi sana humu wa CHADEMA labda wamfikishie ujumbe huu kuwa Utafiti wake katika PhD alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?
 
labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr w slaa anafaa kuitwa doctor.
wapi kafanya post graduate, masters?

2. Najua bila kuna wengi sana humu wa chadema labda wamfikishie ujumbe huu kuwa utafiti wake katika phd alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?


yaani,we acha tu,
na ndie wanaesema anafaa kuwa rais wa nchi yetu,
siku zinavyoongezeka,ndo nazidi kuwa na doubts nyingi
kuhusu slaa.
 
Labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr W Slaa anafaa kuitwa Doctor.
wapi kafanya Post Graduate, Masters?

2. najua bila kuna wengi sana humu wa CHADEMA labda wamfikishie ujumbe huu kuwa Utafiti wake katika PhD alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?
Amefanya utafiti kuhusu kanuni za kuongoza kanisa katoliki

Utafiti mwingine ni kuhusu historia ya kanisa katoliki...
 
acheni uzembe, Dr slaa ni dk kwelikweli.

pekueni tovuti ya bunge, pale kuna cv ya kila mbunge, achana na hizi zinazorushwa hapa jamvini, si wote wanaotumia mtandao huu wana nia njema na kila mtu
 
acheni uzembe, Dr slaa ni dk kwelikweli.

pekueni tovuti ya bunge, pale kuna cv ya kila mbunge, achana na hizi zinazorushwa hapa jamvini, si wote wanaotumia mtandao huu wana nia njema na kila mtu

Mgombea,

Mtoa mada ametoa source ambayo ni tovuti ya bunge! na habari ndio hiyoo..

 
acheni uzembe, Dr slaa ni dk kwelikweli.

pekueni tovuti ya bunge, pale kuna cv ya kila mbunge, achana na hizi zinazorushwa hapa jamvini, si wote wanaotumia mtandao huu wana nia njema na kila mtu

Hii tumeitoa hapo.
Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz
sasa labda utueleze wapi kuna latest CV yake tuichambue.
 
Kuna mtu ana hoji Elimu ya Slaa ama kitu gani ?
Naye yupo kwenye list ya kugushi vyeti au ni siasa tu ? Unadhani anaweza kupewa PhD kwa kumaliza Ntungamo ?
 
Mnao hangaika na elimu ya dk. Slaa mnajua ni nini kinasomwa ktk seminari nilizoziorodhesha hapa chini?

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977

Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973


kwa kuwasaidia tu kwani naona hamuijui elimu ya seminari kuu. ukimaliza form 6 unaingia course ya mwaka 1 (certificate in philosophy). Then ukifaulu unaanza certificate in theology for 3 yrs na kwa mfumo wa seminary this is more than master degree.

Kwa hiyo kama unasoma ktk mfumo wa shule za kawaida ndo utakuta hizo masters n.k. na wapo mapadre waliosoma pia ktk mfumo wa shule za kawaida.

Kwa dk. Slaa hiyo ni system ya kiseminari kwa hiyo baada ya kusoma miaka 4 after A-level, you go straight to doctorate. Kama mtu anashaka na chuo alicho soma check kwenye mtandao ujiridhishe.


 
Labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr W Slaa anafaa kuitwa Doctor.
wapi kafanya Post Graduate, Masters?

2. najua bila kuna wengi sana humu wa CHADEMA labda wamfikishie ujumbe huu kuwa Utafiti wake katika PhD alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?
sio lazima ufanye masters.
ukipata degree unaweza kuunganisha moja kwa moja kwenda kwenye PHD, ila kuna somo linalohusiana na kufanya research inabidi ufanye.
 
Mnao hangaika na elimu ya dk. Slaa mnajua ni nini kinasomwa ktk seminari nilizoziorodhesha hapa chini?

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977

Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

kwa kuwasaidia tu kwani naona hamuijui elimu ya seminari kuu. ukimaliza form 6 unaingia course ya mwaka 1 (certificate in philosophy). Then ukifaulu unaanza certificate in theology for 3 yrs na kwa mfumo wa seminary this is more than master degree.

Kwa hiyo kama unasoma ktk mfumo wa shule za kawaida ndo utakuta hizo masters n.k. na wapo mapadre waliosoma pia ktk mfumo wa shule za kawaida.

Kwa dk. Slaa hiyo ni system ya kiseminari kwa hiyo baada ya kusoma miaka 4 after A-level, you go straight to doctorate. Kama mtu anashaka na chuo alicho soma check kwenye mtandao ujiridhishe.

Mkuu asante kwa ufafanuzi nakumbuka niliwahi kuhoji hili suala kwenye thread ya FMES ya Uchaguzi 2010. Ndio maana ya JF ni shule tosha!
 
Amefanya utafiti kuhusu kanuni za kuongoza kanisa katoliki

Utafiti mwingine ni kuhusu historia ya kanisa katoliki...
There is a saying which goes: If you hate others then you haunt yourself both psycological and this affects the brain of the "hater". Theefore please love your friends and neighbours so that you can get longer life! Overall we live only once and too short!
 
Mnao hangaika na elimu ya dk. Slaa mnajua ni nini kinasomwa ktk seminari nilizoziorodhesha hapa chini?

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977

Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

kwa kuwasaidia tu kwani naona hamuijui elimu ya seminari kuu. ukimaliza form 6 unaingia course ya mwaka 1 (certificate in philosophy). Then ukifaulu unaanza certificate in theology for 3 yrs na kwa mfumo wa seminary this is more than master degree.

Kwa hiyo kama unasoma ktk mfumo wa shule za kawaida ndo utakuta hizo masters n.k. na wapo mapadre waliosoma pia ktk mfumo wa shule za kawaida.

Kwa dk. Slaa hiyo ni system ya kiseminari kwa hiyo baada ya kusoma miaka 4 after A-level, you go straight to doctorate. Kama mtu anashaka na chuo alicho soma check kwenye mtandao ujiridhishe.

Mwenyewe ameandika kuwa Kipalapala na Kibosha amefanya Certificates.
Ni vipi certificates zikawa sawa na Degree au Masters. hapa naomba ufafanuzi zaidi nijiridhishe.

Na vipi ile Segerea Senior Seminary wanatoa nini kule?
 
Mwenyewe ameandika kuwa Kipalapala na Kibosha amefanya Certificates.
Ni vipi certificates zikawa sawa na Degree au Masters. hapa naomba ufafanuzi zaidi nijiridhishe.

Na vipi ile Segerea Senior Seminary wanatoa nini kule?

Yes. From certificate to PhD degree. This is another evidence if not proof of how smart the guy is. Kama unabisha, nenda ka-apply PhD kwa kutumia B.A/B.S diploma uliyonayo uone kama utapata admission. Only smart, alpha geeks can do that!
 
Mwenyewe ameandika kuwa Kipalapala na Kibosha amefanya Certificates.
Ni vipi certificates zikawa sawa na Degree au Masters. hapa naomba ufafanuzi zaidi nijiridhishe.

Na vipi ile Segerea Senior Seminary wanatoa nini kule?

Kipalapala na segerea seminary ni level moja ila kibosho ni seminary kuu sawa na ntungamo na ndiyo maana wale wanaotoka form 6 wakisha kubali kuendelea na upadre wananenda hapo for 1 year.

Seminarini na kikanisa hatuna hiyo unyoiita masters unacho pata baada ya miaka 3 au 4 au 5 kulingana na ufaulu wako ni cheti tu. usisahahu supplementary zipo za kuua pale segerea na kipalapala.
 
sio lazima ufanye masters.
ukipata degree unaweza kuunganisha moja kwa moja kwenda kwenye PHD, ila kuna somo linalohusiana na kufanya research inabidi ufanye.

Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.

U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom