Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,487
- 2,422
- Thread starter
-
- #441
Nonsense,kubwa zima linaandika utumbo,nimekuuliza wewe kama wewe,jichunguze una mchango gani kwa huyo uliye nae,hapa tunaongea na wanaume marijali sio nyie wapiga puli,Sasa Kama hakuna mwenye mchango na mwenzie kwann unaforce uwe mwili mmoja na mtoto wa mwanamke mwenzio
Yani nyie mnataka muolewe mringishie mabwana zenu wa zaman mringishie na mashoga zenu muanze kuzunguka salon umbea et nimeolewa natunzwa na mume wangu
๐Hio kwa Sasa mtasahau Yani mnataka mkitoka kulelewa na wazazi muhamie kwa mume nyie hamfanyi kazi Ni Kama mifugo Tena Bora mbuzi itatoa hata maziwa nyie Ni useless fanya kazi jioe au olewa na mwanamke mwenzio
dah, hii inaingiaje sasa hapa ?nyie wapiga puli,
Maisha hayana formula Kama wewe ili upate pesa Ni lazima utoke au uamke asubuh na mapema Kuna wengine Rika lako anafanyiwa au ana shughuli zake eg Mimi sijatoka siku mbili hata kwenda dukani Nina kila kitu ndani home alone lkn nimepata muda wa jf shughuli zangu kwenye pc nimemalizaLakini muulize anapataje muda wa kufanya punyeto kutwa mara 3? inamaana muda wa kazi anachukua break ya punyeto? huyu anahitaji msaada wa dhati kabisa chapo hajaweza kukiri.
Shida ya JF imejengwa katika misingi ya uongo uongo bila kujua kuna watu wana akili za kushikiwa wataenda kujaribu kila kinachosemwa humu.
Preach Matola preach.
Huwezi kunifundisha lolote mpuuzi tu wewe....unaandika mambo mengi yasio na substance,Hivi wewe unaakili kweli?
Hivi unaweza muonyesha MTU kitu kinachoonekana?
Yaani upo baharini alafu unataka uonyeshwe bahari?
Ndio maana mnaambiwa ninyi ni matapeli, na wadhulumaji.
Mwenye upendo hafundishwi kupenda, na mwenye kupenda haonyeshwi Upendo.
Bado utatoa macho๐๐
Kwa sababu mmezoea kutapeliana,
Uonyeshwe upendo kwani wewe ni kipofu?
Mapenzi hayajifichi mpaka yafichuliwe. MTU kama hakupendi hakupendi unataka mpaka akuonyshe ๐๐
Upendo wa maonyesho ndio Utapeli wenyewe huo tunaouzungumzia hapa.
Ndio ninyi mkianza mahusiano mnakuwa na Kasi Kwa sababu mnaonyeshana ATI UPENDO ๐๐yaani uhuni uhuni tuu! Baada ya miaka mitatu mayowe! Ooh! Umebadilika, sijui siku hizi haunipenda, hivi tangu lini upendo ukabadilika au ukachuja?
Bado unamengi ya kujifunza, ukijifanya mbishi endelea na ubishi wako.
Maana wengine kunielewa inawachukua miaka na miaka
Kuna statement yangu yoyote umeiona inasema sitaki kuoa? [emoji848]Kama kuoa hautaki kaolewe uzae,
Nipunguze au niongeze๐๐๐Eeeenhee punguza 10 pale nifanye JAMBO
kuonyeshwa upendo ni wakati wa uchumba tuu....haaa afu unataka tupate elimu ya ndoa, elimu gani hio unayotoa wewe???!
Kabisa watu wengi wanafeli kwenye choice unapofeli hapa unasababisha mahasiano/ndoa isiwe na Afya uko mbele na hapo kwenye choice wengi wanafeli unakuta anaangalia tako, uzuri, kifua ndio kipaumbele chake unasahau vitu msingi kwanza hivyo vingine viwe kama nyongeza tu baada ya kumuoa anayoenda kukuta nako uko anajuta kabisa anaona ndoa mbaya au wanawake wote ni wa ovyo kumbe tatizo la msingi ni sifa aliziangalia.Kabisa shida hatuna bahat kupata watu sahihi lkn ukipata unaenjoy tu
sihitaji msaada wowote , napiga nyeto mara 3 mpaka 4 kwa sikuLakini muulize anapataje muda wa kufanya punyeto kutwa mara 3? inamaana muda wa kazi anachukua break ya punyeto? huyu anahitaji msaada wa dhati kabisa chapo hajaweza kukiri.
Umesahau kuhus bamia๐sihitaji msaada wowote , napiga nyeto mara 3 mpaka 4 kwa siku
kuhusu muda wa kazi, mie ni mtu wa site, napiga mshindo kijiji, narudi town miguu juu ya meza, sitoi hata senti tano kukojoa
Hivi wewe una akili kweli? Wewe inaonesha Ni mwanamke mvivu sanaValentine's day haambulii japo biskuti kisa alipewa wakati wa uchumba?!
Ulinipiga Chai nakuzoom tu.Nipunguze au niongeze๐๐๐
Wewe unaona ni maigizo ni kwasababu umekariri formulatamthilia za kifilipino zinakuharibu, wanalipwa wale
acha kuziangalia
bamia utelezi au ?Umesahau kuhus bamia๐
Kataa Tamthilia za KifilipinoWewe unaona ni maigizo ni kwasababu umekariri formula
chukua time umeshashindwa wewe, si ulisema upo leo mbona unaaga?????Sasa MTU umeshaingia kwenye upendo alafu unatafuta upendo, huoni unamatatizo?
Mimi ngoja nikuache maana Upeo wako upo below.
Soma bila mihemko itakusaidia. Sio wewe tuu hata Watoto au wajukuu zako.
NDOA Watu hawaonyeshani upendo. Bali wanaishi Kwa upendo kwani ndoa ni Upendo.
Kama falsafa inakusumbua ngoja nikuache.
Ingawaje umebakiza hatua mbili somo uwe umelielewa๐๐
Chakushangaza hujui ni somo gani
K
Muvi feki inampachika kijana hisia za kweli.Kataa Tamthilia za Kifilipino
Bao nne kwa siku mchezo mzee wako anaweza? Mimi Ni rijali sioiNonsense,kubwa zima linaandika utumbo,nimekuuliza wewe kama wewe,jichunguze una mchango gani kwa huyo uliye nae,hapa tunaongea na wanaume marijali sio nyie wapiga puli,
Huwezi kunifundisha lolote mpuuzi tu wewe....unaandika mambo mengi yasio na substance,
Tangia ulivyosema upendo unaonyeshwa kwenye uchumba tu nimekudharau nakuona hujui maswala ya ndoa na mkeo yuko very unhappy...pole zake kwa kweli...kwa hio siku ya Valentine's day haambulii japo biskuti kisa alipewa wakati wa uchumba?!