James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,187
- 15,535
Unaizungumzia nchi gani ?Mafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
Unaizungumzia nchi gani ?Mafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
Wewe jamaa ukijitafuta sana inawezekana DNA ilianzia kule kwa washona na Wandebele. Maana hao jamaa walimuaminisha hivyohivyo comrade Robert, ila leo hii imebaki history.
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu
Huyu sio Muhongo kuna mtu katengeneza akaunti , Hakuna RFA ya kiswahili tafadhali msichafue watu . Muhongo hajawa hivyo hata siku moja.
Anajua anachozungumza, usidhani amekurupuka. Kaa uyatafakari hayo maneno, utaelewa kituje alitoa ushauri sahihi kwa wakati sahihi??
maana isijekuwa anakaa kimya tu halafu anakuja andika twitter
Dah! Unataka kutuambia HICHO NDO KIINGEREZA cha PROF.?
unaibiwa au nyie ccm ndio mnaiibia nchi pumbavu kabisaRobert aliwatimua
sisi hatutimui mtu
tunadai haki
tunakataa kuibiwa wao waendelee kuwapo lakini sio kwa kutuibia
Nimependa uandishi wako. Haumkwazi yeyote yule.Asante Prof kwa utumishi wako... Enenda zako kwa amani ya Bwana. Bwana atatuinulia Haron wa kuchukua kijiti cha Musa na kuindeleza safari... Sasa kapumzike ule mafao yako kwa utulivu...
Vitisho havisaidii haya madini ni yetu wao walikuja na briefcase tu.Natamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.
Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
Aliyekudanganya nani kuwa uchawi hauendi ulayaNatamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.
Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
Shukran...Nimependa uandishi wako. Haumkwazi yeyote yule.
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.
Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.
" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"
Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Usiwe mwogaNatamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.
Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
Kwa ujinga uliondika Bora ungetumia Fake ID uitwe Jinga Laoyeye mpuuzi sana, asimtishe rais kwa maneno ya kijinga, kwa hili tuko pamoja na rais, kama alitumiwa na hao kupe awaambie "ngosha" kabana
Muhongo mwaga mboga mkuu , kama kunuka kinuke tu !Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.
Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.
" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"
Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Hebu niambie.Usiwe mwoga