Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu

Hakika tutaipata. Mimi nabadili uraia Singasinga tumelipa hela za watu, wenyewe wanatudai. Sasa tena tumeiba makinia ya watu nao tuwalipe! Hiyo kodi si tutavunja migongo? Nahama.
 
Ukweli mimi nina Tatizo moja ukishakuwa mwanasiasa tu hasa CCM napata shida sana kushawishi moyo wangu ukubali anayoyasema.

Huwa siwamin kabisa wanasiasa
 
4b29d3fa97f4df5e6e334d74dfa6a3aa.jpg
Huyu sio Muhongo kuna mtu katengeneza akaunti , Hakuna RFA ya kiswahili tafadhali msichafue watu . Muhongo hajawa hivyo hata siku moja.
 
je alitoa ushauri sahihi kwa wakati sahihi??

maana isijekuwa anakaa kimya tu halafu anakuja andika twitter
Anajua anachozungumza, usidhani amekurupuka. Kaa uyatafakari hayo maneno, utaelewa kitu
 
Natamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.

Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
 
Huu uwaziri huwa wanapewa tena bila hata kuomba; lakini wakitolewa wanalaumu!
Ningekuwa Mimi kwenye midia ningewambia tu aliyenipa kauchukuwa kama alivyonipa: tunafunga mjadala; na hasa nikijua cna kosa
 
Natamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.

Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
Vitisho havisaidii haya madini ni yetu wao walikuja na briefcase tu.
 
Natamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.

Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
Aliyekudanganya nani kuwa uchawi hauendi ulaya
 
Binafsi ktk watu nilikuwa na shaka nao na siwaamini nchi hii ni huyu
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.

Genetically we are all homo-sapiens but we differ in acquired attitudes (phenotipics). Politicians are mentored. few were trained and afew are born leaders.

Rais wa Marekani ni wa 46? still USA remain strong and one. Even Ministers in MoME will come and go, yet life goes.
 
Natamaani mtu aingie pale Magogoni amkurupue Ngosha kwenye blanketi, amwambie kuwa wamiliki wa Acacia wameshakuwa viongozi wa nchi tatu ndani ya G7.
Yaani ni vile tu sijui kisukuma , huyo mtu amwambie Ngosha kuwa G7 zinamiliki zaidi ya asilimia hamsini za uchumi wa dunia hii.

Tena amwambie, G7 inakutana keshokutwa Italy kujadili mambo matatu na Biashara za kimataifa na uwekezaji ukiwemo.
Alafu akimaliza amwambie kuwa uchawi hauendagi Ulaya.
Usiwe mwoga
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Muhongo mwaga mboga mkuu , kama kunuka kinuke tu !
 
Back
Top Bottom