Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Nimepaki bodaboda yangu pembeni ili nisome uzi huu nikiamini yule mtu aliyema akifukuzwa kazi Dodoma na Dar vitakumbwa na tetemeko anasema nini leo
Kumbe ni mpyempyempye tu!
 
yeye mpuuzi sana, asimtishe rais kwa maneno ya kijinga, kwa hili tuko pamoja na rais, kama alitumiwa na hao kupe awaambie "ngosha" kabana
Jiandae kuwa kama Zimbabwe chezea mzungu wewe,

Kumbuka ndiye kaifundisha Africa yote kuvaa tulikuwa tunatembea uchi.
 
Huyu ndiye alikua waziri wa madini kabisaaa!!! hayo maneno alitakiwa kuyasema chizi,tumia usomi wako kuitetea nchi yako kwa vyovyote vile hata kama inakosea sema isahihishe na sio kuwa mshauri wa vitisho tu,mwanzon nilidhani kaonewa kumbe mkuu alikua sahihi
Utateteaje nchi iliyo chini ya mikataba mibovu?
 
Aisee, kumbe hatukuwa na kitu pale.Professor gani anakuwa muoga namna hii. Kazi yake utaalamu wa miamba. Awaache wanasheria na wachumi watueleze, strength na weakness za hawa infestors (not investors) hana authority kwenyefani hizo.
 
4b29d3fa97f4df5e6e334d74dfa6a3aa.jpg
Siamini kuwa English hii imeandikwa na Prof Muhongo. He is a lot better than this scum! Nadhani imeghushiwa hii. Haijatoka kwa Prof.
 
Hili movie ni kali mno ngoja nichunge ulimi na vidole vyangu ili baadae nisije lamba matapishi
Uzuri wake wanaorumbana ni watoto wa baba mmoja(ccm)
Sijajua lengo lao nikutaka kujirekebisha makosa yao, ni kutaka kuchafuana, ni kutaka kujitafutia umaarufu kisiasa au kutaka kutuangamiza kabisa?
Hata hivyo yote yanayoendelea wao ndio wamesababisha na uwanja wa utawala bado ni wao
Muda utahukumu
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Kama ulijua Watanzania wanafanya MAKOSA mbona HUKUTOA SULUHISHO ukiwa bado ungali WAZIRI?
 
Wakati wanakula kipande cha mkate wanashinda wanamsifia Magu. Lakini wakitolewa ndo wanapanua vinywa vyao. Yupo mmoja wao naye ni Prof.
Chama hakiruhusu kuhoji au kupinga chochote kitokacho kwa mwenyekiti..
 
ndio huyo ccm walikua wanampaisha mara jembe,mara chuma kumbe ni boya tu ....mikataba yote alikua anaitetea kana kwamba yeye si mtanzania.bora tu wamempiga chini akatengeneze juice.
 
Utateteaje nchi iliyo chini ya mikataba mibovu?
hapo umeuliza nini sasa!!!? au umeona kutetea tu,hukuona kusaidia kurekebisha inapokosea serikali!!!? sawa, kwa maana yako hatuwezi kuisaidia serikali sisi na mawaziri kwa msaada wa nchi yako nakuomba upendekeze jinsi ya kuibadili mikataba bila binadamu kuhusika
 
Huyu ndiye alikua waziri wa madini kabisaaa!!! hayo maneno alitakiwa kuyasema chizi,tumia usomi wako kuitetea nchi yako kwa vyovyote vile hata kama inakosea sema isahihishe na sio kuwa mshauri wa vitisho tu,mwanzon nilidhani kaonewa kumbe mkuu alikua sahihi

Alikuwa anasubiri ashauri baada ya kutemeshwa uwaziri!!!
 
Angeonekana mwema sana endapo angeyasema hayo matatzo kabla ili tuweze kurekebisha km ni mikataba ama la
 
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu
Kwa kweli, jitu zima ovyo kabisa! Jambazi la nchi kavu! Ale hizo pesa vizuri na family yake! Afanalek walahi!
 
Back
Top Bottom