Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Wakitumbuliwa u waziri ndo wanajifanya kuanza kuelewa wakati ni wanafiki watupu. Wapinzani walipokuwa wanaibua haya madudu wanakuwa wanawatukana matusi mazito eti leo anaema "I call a sped a sped!" Shame on him
 
Naona sasa anataka kujiingiza kwenye kazi ya utabiri...
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Wapiga kura wake walimchagua kwa kulazimishwa
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
hana jipyaa
 
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu
shubiri tumevumilia miaka 17 itakuwa muda huu...huo ni mwendelezo tu..atuache bwanah
 
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu
Wewe leo hata akiwacha kazi magu utamlaumu maana wewe ni debe tupu la lumumba
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Mwekezaji ni Mungu????? Nenda Kwa Amani MUHONGO
 
huyo hata wakati ule wa kashfa wa ESCROW aliwatishia nyau wabunge kuwa akizungumza yote anayoyajua nchi itatikisika.
tunashangaa ametikisika yeye.hayo maonyo yake aliyo-tweet ilitakiwa ayafikishe kwa rais yafanyiwe kazi kuliko kujifaragua kwenye mitandao.
come on man,don't be so cheap!
wanasemaga tu...hawanaga ujanja wa kusema ukweli...kuna maisha baada ya kuwa mkweli...nani anayataka hayo maisha
 
Asante Prof kwa utumishi wako... Enenda zako kwa amani ya Bwana. Bwana atatuinulia Haron wa kuchukua kijiti cha Musa na kuindeleza safari... Sasa kapumzike ule mafao yako kwa utulivu...
49a5daa1d95fdae5d0c378478ea53997.jpg
 
Kwani hao wawekezaji walikuja kuwekeza au kuiba kama wanatuibia ni vibaya rais wetu kutetea uchumi wa rasilimali zetu kama watanzania wrote watakuwa NA mawazo ya kuogopa wawekezaji taifa wataligawana namuomba rais akaze kamba NA kama kutuua watuue kwa chetu.
 
Back
Top Bottom