Professor Mkumbo na siasa za hovyo

Professor Mkumbo na siasa za hovyo

d
Well, tunajadili hewa. Kama ulitaka kujadili mada yangu kwa nini usiweke hapa makala husika ili watu wasome? Na kwa nini tunadhani kwamba wote tunatakiwa tuwe na mawazo yanayofanana? Udhaifu moja tulionao ni kushindwa kukabili hoja kinzani kwa hoja badala yake tunapambanisha hoja na kejeli, matusi, n.k. Kosa la makala imekuwa kuwasifia Zitto na Kafulila kwamba walifanya kazi nzuri ya uongozi??!!

Mada yenyewe ni hii hapa kutoka gazeti la mwananchi.

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz

prof watu hawakatai kujadili hoja kinachowaboa wewe kila article yako ni kumzungumzia zitto huna mradi mwingine wa kuzungumzia ili jamii ifaidike na uprof wako .bora jk juzi alituelimisha juu ya tezi dume mimi binafsi nilikuwa sihujui wewe kila kukicha ni zitto,zitto zitoooo jaribu kubadili mada kidogo ili tuchangie kwa manufaa ya wana jf.other wise ni sawa na mme kumsifia mke wake kila siku
 
d

prof watu hawakatai kujadili hoja kinachowaboa wewe kila article yako ni kumzungumzia zitto huna mradi mwingine wa kuzungumzia ili jamii ifaidike na uprof wako .bora jk juzi alituelimisha juu ya tezi dume mimi binafsi nilikuwa sihujui wewe kila kukicha ni zitto,zitto zitoooo jaribu kubadili mada kidogo ili tuchangie kwa manufaa ya wana jf.other wise ni sawa na mme kumsifia mke wake kila siku

Article imejaa mambo kibao na Zitto ametajwa kama sehemu ya mfano wa viongozi wa kizazi kipya cha siasa. Niambie katika sakata hili la escrow unawezaje kuandika bila kumhusisha Zitto na Kafulila? Mimi nimeandika makala nyingi, ni makala gani nyingine ambayo nimemjadili Zitto ukiacha makala zangu za urais ambapo yeye ni mtu wa tano kati ya wale ambao nimeshawajadili?
 
Naona wengine wamesema Prof.Mkumbo anatoa pumba ; Wengine utumbo n.k.
Lakini nadhani tusimhukumu hewani kwani kama tingeziona hizo pumba basi tungeangalia kama zinafaa kuwapa kuku au ni za ng'ombe!!!
Kama ni utumbo tungeangalia kama unafaa kupikia ndizi au supu gengeni!!!
Binafsi nilikua na mheshim sana Prof.Mkumbo wakati alipokuwa CDM kwani ni kweli Chama kilikua kinakuja na hoja na sera mbadala.
Lakini siwezi kumdharau kwa sababu tu ameondoka CDM.
Nadhani kuna jambo atakuja kulitolea hitimisho kwa vyama vya upinzani. Huyu prof. Nadhani ni mpenda mabadiliko ya kifikra na kijamii iwe ndani ya vyama au nje.
Ni ukweli kuwa Kafulila na Zito ni wabunge wenye misimamo tena yenye mashiko na wanauwezo wa kuivuta jamii kwenye matukio yaliyopo.
Tujivunie hawa wabunge kama wabunge wa upinzani wenye uwezo.
Mbunge bora ni yule anayekuja na jambo lenye uhalisia bungeni sio hisia zake binafsi.
Mkumbo ana haki ya kueleza anayoona yatafikisha malengo yake.Anpokosolewa pia ni moja ya kujua kuwa ujumbe umefikia jamii.
 
Article imejaa mambo kibao na Zitto ametajwa kama sehemu ya mfano wa viongozi wa kizazi kipya cha siasa. Niambie katika sakata hili la escrow unawezaje kuandika bila kumhusisha Zitto na Kafulila? Mimi nimeandika makala nyingi, ni makala gani nyingine ambayo nimemjadili Zitto ukiacha makala zangu za urais ambapo yeye ni mtu wa tano kati ya wale ambao nimeshawajadili?

Nimesoma makala yako ktk gazeti husika, unaonekana wazi kumpaka mafuta matukufu JK, kuna uwezekano mkubwa unahitaji fadhila zake hasa baada ya kushindwa siasa kila unakoenda. Ulikuwa Chadema ukaharibu, huko Act nako nasikia mambo ni magumu sn....
 
Article imejaa mambo kibao na Zitto ametajwa kama sehemu ya mfano wa viongozi wa kizazi kipya cha siasa. Niambie katika sakata hili la escrow unawezaje kuandika bila kumhusisha Zitto na Kafulila? Mimi nimeandika makala nyingi, ni makala gani nyingine ambayo nimemjadili Zitto ukiacha makala zangu za urais ambapo yeye ni mtu wa tano kati ya wale ambao nimeshawajadili?
Kaka watu wa Mgela walishaanza kukuelewa,ila toka yakukute hueleweki,binafsi niliamini kwa yaliyokuta ni kama chuma kinapita kwenye tanuru.ajabu umekuwa mpotoshaji style ya Dr.Bana,Prof.Muhongo and the like!
 
Wewe nae usomi wako Una Shaka!!!!

Elimu ni uwezo sio cheti wala makaratasi.....

Wangapi wanaandikiwa hizo paper?? yaani kwa ujanja wako wote unapima akili ya MTU kwa paper??
Vyovyote vile iwavyo, mleta mada hajauonesha udhaifu wa profesa Kitila zaidi ya kumshambulie tu! mimi ningeamini udhaifu wa profesa kama ungelioneshwa hapa jukwaani badala ya kumshambulia mtu binafsi.
 
Wakuu unajua wakati mwingine......Haya,hebu mwenye Paper yoyote ambayo Kitila ameandika alete hapa halafu tuijadili hiyo Paper badala ya kumjadili yeye kama yeye maana Uprofesa wa mtu unajadiliwa kwa ku-challenge paper yake kwa hoja na yeye aje aitetee

Kwanza ni wapi tulikompima katika taaluma yake ya Saikolojia hadi tuseme uprofesa wake una mashaka? Maana yeye ni mwanasaikolojia kitaaluma sidhani kama application yake inafanana na elimu ya nyota sijui unajimu

Tuwe sasa na honest and intellectual debate ! ! !


The following are publications published by Dr. Mkumbo for this promotion:-
(a) Journal Papers

1.
Mkumbo, K.A.K (2013). Students’ attitudes towards sex and relationships education in Tanzania.
Health Education,
DOI: 10.1177/001789691351042
2.
Mkumbo, K.A.K. (2013). Assessment of HIV/AIDS knowledge, attitudes and behaviours
among students in higher education in Tanzania.
Global Public Health :An International Journal for Research, Policy and Practice
, DOI: 10.1080/17441692.2013.837498.
3.
Mkumbo, K.A.K. (2013). Prevalence of and factors associated with work stress in academia in
Tanzania. International Journal of Higher Education, pre-published, September 12, 2013. doi:
10.5430/ijhe.v3n1p1.
4.
Mkumbo, K.A.K. (2013). Young people’s assessment of their sources of information about
sexual health in rural and urban Tanzania.
LWATI: A Journal of Contemporary Research, 10 (2), 163-174
5.
Mkumbo, K.A.K . (2013). Factors associated with teachers’ motivation and commitment to
teach in Tanzania.
Journal of Educational Sciences and Psychology, LXV, 58-71.
6.
Mkumbo, K.A.K.(2012). Teachers’ attitudes towards and comfort about teaching school based
sexuality education in urban and rural Tanzania.
Global Journal of Health Science , 4(4), 149- 158. doi: 10.5539/gjhs.v4n4p149.
7.
Mkumbo, K.A.K. & Amani, J. (2012). Perceived university students’ attributions of their
academic success and failure. Asian Social Science, 8 (7), 247-255.doi: 10.5539/ass.v8n7p247.

8.
Mkumbo, K.A.K . (2012).Teachers’ commitment to, and experiences of, the teaching
profession in Tanzania: Findings of focus group research.International Education Studies, 5(3),
222 - 227 .doi: 10.5539/ies.v5n3p22.

9.

Mkumbo, K.A.K. (2012).Reflections on the 2010 National Form Four examination results.
Papers in Education and Development
.
10.
Mkumbo, K.A.K. (2012).Content validity of national examinations in assessing the
curriculum objectives in Tanzania.
Journal of Education, Humanities and Sciences,1, 15-26
.
(b) Book Chapters
1. Mkumbo, K.A.K . (2013). Old enough to know: consulting children about sex and AIDS
education in Africa (Book Review).Sex Education: Sexuality, Society and Learning
, 1-3. DOI:10.1080/14681811.2012.761897

2. Mkumbo, K.A.K. (2013).
Promoting Abstinence, Being Faithful, and Condom Use with Young
Africans: Qualitative Findings from an Intervention Trial in Rural Tanzania (Book Review).
Global Public Health : An International Journal for Research, Policy and Practice.
DOI:1080/17441692.2013.840008.

(c) Consultancy Reports
1. Development of the education sector strategic plan for HIV and AIDS: AMREF
2. Development of Advocacy Strategy for Resource Mobilisation for HIV and AIDS: Tanzania
Commission for AIDS (TACAIDS)
3. Development of Guidelines for Mainstreaming Gender and Human Rights in HIV/AIDS Advocacy Strategy: Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS)
4. Sexuality Education Review and Assessment in Tanzania (SERAT) Development of Behaviour Change Communication (BCC) Package for Higher Education Institutions in Tanzania: UNESCO Dar Cluster Office, Tanzania




Na kwa sababu Prof. Kitila Mkumbo ni member humu naamini ujumbe wako ameupata. anaweza kutupia mojawapo ya Paper zake humu iliwenye hamu ya kudadavua hoja wapate nafasi-maana kama zinavyosomeka hapo juu naamini hiyo ndoiyo eneno hasa ambalo Prof-anaujuzi navyo kuliko Political Science ambayo wengine wamekuwa na hofu kama Prof. anamudu au lah!
 
Last edited by a moderator:
Article imejaa mambo kibao na Zitto ametajwa kama sehemu ya mfano wa viongozi wa kizazi kipya cha siasa. Niambie katika sakata hili la escrow unawezaje kuandika bila kumhusisha Zitto na Kafulila? Mimi nimeandika makala nyingi, ni makala gani nyingine ambayo nimemjadili Zitto ukiacha makala zangu za urais ambapo yeye ni mtu wa tano kati ya wale ambao nimeshawajadili?


Umepoteza Dira......
 
Prof mkumbo anajitoa akiri tu ila mi MTU mmoja smart sana namheshmu alinivutia sana kwenye mkutano mmoja hivi ulifanyika viwanja vya makubul kama cjakosea nikaamini tz kuna wasomi na kaz aliyoifanya ndan ya chadema ni kubwa has a kuandaa ilani ya uchaguzi nzur lakini pia akafanya kosa kubwa ndan ya chama nafikiri hill ndio linampa maana lakini bado sijafikia kiwango cha kumdharau kabisaa naamini IPO siku atakua tena vizuri, siasa za bongo kunakipindi watu hujitoa akiri kwa manufaa Fulani rejea mh nchemba
 
we dada hebu nyoosha maelezo tatizo hasa la Prof Kitila ni lipi? na linaondoje uhalali wa yeye kuwa Prof?
Au kwa sababu Mnapenda kusikia vinavyowafurahisha tu? hamtaki kisikia msivyovipenda hata kama ndio ukweli wenyewe!!

Upo sahihi mkuu! Na Hapo nilipo red naona ndio tatizo la huyu dada. rosemarie



Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Last edited by a moderator:
hakuna professor mwenye akili timamu Tanzania prof kikwete prof kitila &co

mtu anayekubali kuendeshwa na nyakarungu.mchange zzk na midoli mingine sidhani kama anaakili sawasawa
 
Yaani kinachotokea katika mjadala wa thread hii kina-reflect hali ya taifa letu kwa sasa

Ndugu!
Wasomi wengi sana wa kitanzania WAMESHINDWA KABISA kuonyesha usomi wao kwenye siasa. Inaelekea huyu mwanzisha thread ana hasira na wasomi wetu na Kitila ametumika tu kwa sababu ameingia kwenye anga zake za kumi na nane. (Haya ni mawazo yangu). Hebu angalia maprofesa wote walioingia kwenye siasa hapa Tanzania uniambie ni wangapi wamekuwa na positive contribution kwenye siasa zetu. Hebu angalia hii katiba iliyoandikwa juzi na Pr. Mahalu alishiriki kikamifu na alivyokuwa anaisifia huku ikionekana ni mbovu kuliko hata hii ya zamani. Tatizo la wasomi wetu ni kutanguliza matumbo mbele na wako tayari kufanya lolote ili mkono uende kinywani.
 
Sasa uprofesa wa mtu si unau-challenge huko kwenye journals huko.Yaani nisipokubaliana na hoja yako nitakua na elimu ya mashaka?

Kwako wewe and the likes ni kuwa wale waumini wa "Group thinking " na "Bandwagoning" elimu yao ipo juu au ndio ma-genius.

Au ndio wale wale wenye phobia na elimu kiasi kwamba ukisikia huyu ana cheti cha Kidato cha nne wakati wewe huna unaanza kumchukia.Kuna tabia mbaya sana imeibuka siku hizi na italigharimu taifa ile ya kuaminisha watu kuwa elimu siyo kitu kabisa.

My brother ,wake up! Hakuna taifa litakalojengwa bila kuwekeza kwenye elimu bora ya watu wake.

Pia msomi hatakiwi kujenga hoja za kisayansi kwa kufuata hisia za watu au mihemko vinginevyo tutakua na wasomi watakaoendelea kutulisha takwimu za uongo tu kama wale wanaodanganya kuwa uchumi unakua.Kuna matusi umeandika hapo juu ingawa hujui kuwa ni matusi....

Anyways,I think i should ignore you to avoid the escalation of your vituperation.

Samahani Mkuu.

"Vituperation" maana yake nn? Nisaidie nisiejua.
 
Huyu prof. tumeambiwa ameanzisha kamradi kake kakumfagilia zzk lkn kumbe nikumpoteza zzk!
 
Well, tunajadili hewa. Kama ulitaka kujadili mada yangu kwa nini usiweke hapa makala husika ili watu wasome? Na kwa nini tunadhani kwamba wote tunatakiwa tuwe na mawazo yanayofanana? Udhaifu moja tulionao ni kushindwa kukabili hoja kinzani kwa hoja badala yake tunapambanisha hoja na kejeli, matusi, n.k. Kosa la makala imekuwa kuwasifia Zitto na Kafulila kwamba walifanya kazi nzuri ya uongozi??!!

Mada yenyewe ni hii hapa kutoka gazeti la mwananchi.

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Profesa Mkumbo, kwenye hiyo mada umesema;
"Kwa muda mrefu kabisa suala la escrow lilibaki kuwa jambo binafsi la Kafulila na mbunge mwenzake Zitto Kabwe hadi siku za hivi karibuni na hasa baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya PAC bungeni."
Hapo hukusema kweli, kwani Kafulila aliungwa mkono na John Mnyika na Ole Sendeka tangu mwanzo wa hoja mpaka mwisho. Zito alikuja kuingia kama mwenyekiti wa PAC. Mnyika na Sendeka walipeleka vielelezo bungeni vya jinsi pesa ilivyochotwa. Muhongo aliwakejeli kwamba zile zilikuwa karatasi za kufungia maandazi tu na kwamba yeye Muhongo angeleta ushahidi wa makaratasi ya ujazo wa Pick up!
 
Na kwa sababu Prof. Kitila Mkumbo ni member humu naamini ujumbe wako ameupata. anaweza kutupia mojawapo ya Paper zake humu iliwenye hamu ya kudadavua hoja wapate nafasi-maana kama zinavyosomeka hapo juu naamini hiyo ndoiyo eneno hasa ambalo Prof-anaujuzi navyo kuliko Political Science ambayo wengine wamekuwa na hofu kama Prof. anamudu au lah!
Watanzania tuna mis kitu kuhusu elimu! Elimu ni nyezo ya kutuwezesha tu kukabiliana na maisha yetu ya kila siku. Mtu akisoma udaktari wa binadamu kwa mfano... tunategemea akili yake ipanuke kukabiliana na mambo mengine yote ya kimaisha na si tu ile field aliyosomea! Ingawa hawezi kuwa mtaalamu kwenye fields nyingine ambazo haku-specialize lakini vilevile hatakiwi kuwa mbumbumbu kwa kizingizio kuwa haja-specialize. Mtu yeyote msomi tunategemea general knowledge yake ipanuke! Inapokuja suala la siasa ambalo ni area muhimu ya maisha yetu, tunategemea msomi yoyote awe na upeo wa kuchambua mambo aonyesha msimamo uliojikita kwenye haki na ukweli na sio pangu pakavu tia mchuzi. Mimi ni mtu ambae naamini kabisa makala nyingi za Pr Mkumbo baada ya kutoka Chadema zimejengwa juu ya chuki ya kufukuzwa kuliko uchambuzi wa kisomi.
 
rosemarie

Nilishawahi kusema na nnarudia kusema,Tanzania kuna ma Proff wawili tu,Proff Mathayo Luhanga na Proff Mark Mwandosya,hao wengine Ma Proff wa Ngoma kama Ndugu yetu Kitila Mkumbo ama wale wa Maua na Bustani,Proff Magembe na Proff Kapuya ni bure kabisa...
Imagine, Proff anakaa na ku side na watu dizaini ya Nyakarungu na wakaelewana Kabisaa unategemea nini jamani
 
Last edited by a moderator:
hapana! akina Prof Muhingo,Tibaijuka, Mwandosya, Mwakyusa na wengineo usiwaweke na kundi mmoja na mganga wa kienyeji (maji marefu). Huo wa Kitila inawezekana kaupata kama wa Kikwete lakini hao niliowataja ni Maprof wanaotambulika na kuheshimika kimataifa. Usifikiri Prof anaweza kufanya kitu na mfumo wa nchi chini ya chama tawala unavyotaka.

Kwanini nisiwaweke kundi moja na Prof. Maji Marefu na wakati wanawaza,kufikiri,kutenda,kujibu hoja kama Maji Marefu na wakina Komba au hiyo Tittle yao ya Uprofessor ndio inakuzuzua?ni jambo gani la maana wamelifanyia Taifa hili kwa huo Uprofessor wao wa kwenye makaratasi zaidi ya kulitia hasara Taifa kila uchwao?
 
Back
Top Bottom