macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,338
- 57,224
Nilishawahi kusema na nnarudia kusema,Tanzania kuna ma Proff wawili tu,Proff Mathayo Luhanga na Proff Mark Mwandosya,hao wengine Ma Proff wa Ngoma kama Ndugu yetu Kitila Mkumbo ama wale wa Maua na Bustani,Proff Magembe na Proff Kapuya ni bure kabisa...
Mkuu naona wewe unazungumzia maprofesa walio kwenye siasa. Otherwise nje ya siasa kuna maprofesa wengi wazuri. Tatizo linakuja wanapoingia kwenye siasa wanajikuta wakiuweka usomi pembeni ili kuwafurahisha wakubwa ili na wao wapate mlo.