Laface77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2008
- 2,117
- 2,845
John mnyika anaweza kufanya kazi aliyoajiriwa nayo prof.Kitila mkumbo pale UDSM?
Acha dharau, udsm is not not that worse
Unajiita PSPA pure lakini arguments zako ni kama UPE pure. Mchango wangu haujatilia shaka academic qualification ya Prof. Mkumbo, nimetilia shaka mchango wake katika jamii kwa ulinganifu wa elimu yake. Ni kweli kabisa mheshimiwa John Mnyika hawezi kufanya kile anachokifanya prof. Mkumbo pale UDSM lakini vilevile ni kweli kabisa kuwa jamii ilitegemea mchango mkubwa na chanya kutoka kwa huyo prof. wako katika mambo yanayoigusa jamii moja kwa moja badala ya kuja kutuambia "Tafiti zinajibiwa kwa tafiti".