Professor Mkumbo na siasa za hovyo

Professor Mkumbo na siasa za hovyo

lusungo


No , huwezi kuanza kumjadili mtu na kuanza kejeli tu na kusema una mashaka na taaluma yake halafu tusikuhoji.Haiwezekani unless kama ingekua kwenye jukwaa la Udaku&Jokes...

Nimekuambia kama ni ku-challenge uprofesa wake ukabishane nae kwenye journals huko kwenye pepa za kitaaluma alizoandika

Akileta Makala yake humu huwa tunazi-challenge na au kuzisapoti kwa kujenga hoja.

Au hujui hata nilimaanisha nini.?

Mzee,Tunasambulia hoja na sio mtu

If you are ready to engage in a robust debate, then hit me up! !

Otherwise sitakujibu tena
 
Last edited by a moderator:
Mtu msomi anategemewa awe na michango chanya kwenye jamii,atoe mawazo ya kuisadia jamii na si hizi pumba ambazo hata mie niliyeishia form two nazing'amua!

Awali niliposikia Iramba Magharibi eti wanamchagua Mwigulu wanaacha vichwa kama Mkumbo nilishangaa sana. Ila baada ya muda nimeelewa kuwa pamoja na kuwa Mwigulu HAFAI bado siwezi kushangaa kama wanaweza kummwaga Profesa maana amejionyesha utofauti wake mapema mmo.
 
No , huwezi kuanza kumjadili mtu na kuanza kejeli tu na kusema una mashaka na taaluma yake halafu tusikuhoji.Haiwezekani unless kama ingekua kwenye jukwaa la Udaku&Jokes...

Nimekuambia kama ni ku-challenge uprofesa wake ukabishane nae kwenye journals huko kwenye pepa za kitaaluma alizoandika

Akileta Makala yake humu huwa tunazi-challenge na au kuzisapoti kwa kujenga hoja.

Au hujui hata nilimaanisha nini.?

Mzee,Tunasambulia hoja na sio mtu

If you are ready to engage in a robust debate, then hit me up! !

Otherwise sitakujibu tena

Bado unabaki kule kule je umemsoma vizuri mleta mada?

Nani kajadili kapataje u professor wake? Wewe ndo hujaelewa na hujui unachojadili.....

Bado nakwambia maandishi hayatoshi kupima thamani ya elimu ya MTU isipokua matendo na matumizi ya elimu hiyo kwa jamii na yenye kuleta matokeo chanya.....

Unijibu au usinijibu hainipunguzii chochote.....

Elimu ni uwezo sio cheti....

"Kiwango bora cha elimu au MTU mwenye kiwango bora cha elimu hupimwa kwa mwenendo..matendo na mchango chanya ktk jamii."
 
Sasa uprofesa wa mtu si unau-challenge huko kwenye journals huko.Yaani nisipokubaliana na hoja yako nitakua na elimu ya mashaka?

Kwako wewe and the likes ni kuwa wale waumini wa "Group thinking " na "Bandwagoning" elimu yao ipo juu au ndio ma-genius.

Au ndio wale wale wenye phobia na elimu kiasi kwamba ukisikia huyu ana cheti cha Kidato cha nne wakati wewe huna unaanza kumchukia.Kuna tabia mbaya sana imeibuka siku hizi na italigharimu taifa ile ya kuaminisha watu kuwa elimu siyo kitu kabisa.

My brother ,wake up! Hakuna taifa litakalojengwa bila kuwekeza kwenye elimu bora ya watu wake.

Pia msomi hatakiwi kujenga hoja za kisayansi kwa kufuata hisia za watu au mihemko vinginevyo tutakua na wasomi watakaoendelea kutulisha takwimu za uongo tu kama wale wanaodanganya kuwa uchumi unakua.Kuna matusi umeandika hapo juu ingawa hujui kuwa ni matusi....

Anyways,I think i should ignore you to avoid the escalation of your vituperation.

Mkuu huyu Prof sijui kama anaamini katika kuzichambua journals. Si ulisikia akimjibu Dr Slaa kwa niaba ya anaowatumikia kuwa TAFITI hupingwa kwa TAFITI? Sijui kama anaamini kama kuna kuichambua journal critically na kwamba critical review inaweza kabisa kuziona baadhi ya the so called tafiti kuwa ni takataka. ukiuza mwili waweza kuishia kupata ukimwi, lakini ukiuza akili unaishia kuwa mtu wa hovyohovyo.
 
Mkuu huyu Prof sijui kama anaamini katika kuzichambua journals. Si ulisikia akimjibu Dr Slaa kwa niaba ya anaowatumikia kuwa TAFITI hupingwa kwa TAFITI? Sijui kama anaamini kama kuna kuichambua journal critically na kwamba critical review inaweza kabisa kuziona baadhi ya the so called tafiti kuwa ni takataka. ukiuza mwili waweza kuishia kupata ukimwi, lakini ukiuza akili unaishia kuwa mtu wa hovyohovyo.

Chintu,

Nakubaliana na wewe tukichambua tafiti hizi critically hatutaziona kwenye angle ambazo waliaminisha watu

Qualitative analysis itaonyesha mapungufu makubwa kwenye tafiti.Kuipinga tafiti unaweza kuipinga kwa kuichambua qualitatively na kutoa kasoro.

Ndicho ambacho journals hufanya .
 
Last edited by a moderator:
Huyo ni system

Level yake ndogo sana! hana lolote!
Kumbukeni Mh. Robert Mugabe kampa PhD mkewe! Na huyu pia inaweza kuwa ilifanyika kwa mtazamo wa mtu sio mfumo akaupata u-prof.
 
lusungo

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Kuna bosi wangu mmoja aliyenipokea siku ya kwanza kabisa nikiwa ndio naanza kazi aliniambia "Don't show me your cerificates because to me they only mean that your daddy had enough money to take you to school". Akaniambia ninachohitaji ni kazi yangu ifanyike with or without your certificate. Sasa the likes of akina Prof. Mkumbo ni kuwa wana vyeti pamoja na majina (prof) lakini mchango wake katika jamii unatia shaka wakati watu kama John Mnyika hawana hivyo vyeti wala majina lakini michango yao katika jamii haitiliwi hata chembe ya shala.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna njia nyingine mbadala vinginevyo hata Mbowe angekuwa Prof. maana anaongea sana. Ila tukubaliane kuwa kuwa Profesa anajua sehemu ndogo sana ya nyanja fulani kwa undani sana. Kujua kwa undani sana juu ya sehemu ndogo ya maarifa kunamfanya aache mambo mengi bila kuyashughulikia. Prof. sio kwamba anayajua yote kwa upana wake. Uprofesa wa taaluma sio kama uprofesa wa wana siasa kama vile JK. Ukimuuliza upasuaji wa tezi dume anajua, ukimuuliza uzazi salama anajua, ukimuuliza ualimu anajua, ukimuuliza miamba ya gas anajua, ukimuuliza bashara ndiyo usiseme, kwa uprofesa wa taaluma sio hivyo
Wewe nae usomi wako Una Shaka!!!!

Elimu ni uwezo sio cheti wala makaratasi.....

Wangapi wanaandikiwa hizo paper?? yaani kwa ujanja wako wote unapima akili ya MTU kwa paper??
 
Ni kweli kwamba uwezo wa mtu hupimwa kwa kazi yake na maarifa aliyonayo, lakini unampima katika nini na unatumia vichachawizo gani kumpima. Mkumbo kitaaluma ni mwanasaikolojia na ni mwalimu. Unampima katika uwanja huo? Mambo anayojadili ni ya kisiasa na sio kitaaluma ya ualimu wake. Alijadili hapa katika mada moja iliyohusu kushuka kwa elimu Tanzania. Wasomaji wengi humu waliiafiki kuwa iligusa sehemu muhimu za maendeleoya elimu.
Uwanja wa siasa hauna wenyewe kila mtu anaogelea hata asiyejua chochote kuhusu elimu ya siasa. Utakubaliana na mimi kuwa wanasiasa wengi hawajasomea elimu ya siasa. Wengine wachungaji kama Msigwa, Mtikira, wengine wanasayansi kama Prof. Mwandosya, Mwakyusa, Magembe. Na hawa hawana michango ya kusisimua kumshinda Mnyika mere form vi hata Mbowe Form iv au hata Lusinde darasa la tatu. Wanasiasa hawana mtihani wa kuwapima kama wanafaulu au la. Kwenye siasa hakuna kutenganisha mwenye akili na asikuwa, wote kapu moja na wakati mwingine mwenye akili kiduchu ndiye anaye ghara. Hivyo kuubeza uprofesa wa Kila Mkumbo kwa maisha ya kisiasa ni sawa na kupima sukari kwa kutumia lita na kupima maziwa kwa kilo. Hutapata matokeo sahihi na wanaojua tofauti watakushangaa pia
Bado unabaki kule kule je umemsoma vizuri mleta mada?

Nani kajadili kapataje u professor wake? Wewe ndo hujaelewa na hujui unachojadili.....

Bado nakwambia maandishi hayatoshi kupima thamani ya elimu ya MTU isipokua matendo na matumizi ya elimu hiyo kwa jamii na yenye kuleta matokeo chanya.....

Unijibu au usinijibu hainipunguzii chochote.....

Elimu ni uwezo sio cheti....

"Kiwango bora cha elimu au MTU mwenye kiwango bora cha elimu hupimwa kwa mwenendo..matendo na mchango chanya ktk jamii."
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Kuna bosi wangu mmoja aliyenipokea siku ya kwanza kabisa nikiwa ndio naanza kazi aliniambia "Don't show me your cerificates because to me they only mean that your daddy had enough money to take you to school". Akaniambia ninachohitaji ni kazi yangu ifanyike with or without your certificate. Sasa the likes of akina Prof. Mkumbo ni kuwa wana vyeti pamoja na majina (prof) lakini mchango wake katika jamii unatia shaka wakati watu kama John Mnyika hawana hivyo vyeti wala majina lakini michango yao katika jamii haitiliwi hata chembe ya shala.

Kabisa mkuu

Thamani ya elimu kwa MTU haipimwi kwa kujadili paper au vyeti vyake isipokuwa tunapima practice ya hiyo elimu aliyonayo.
 
Well, tunajadili hewa. Kama ulitaka kujadili mada yangu kwa nini usiweke hapa makala husika ili watu wasome? Na kwa nini tunadhani kwamba wote tunatakiwa tuwe na mawazo yanayofanana? Udhaifu moja tulionao ni kushindwa kukabili hoja kinzani kwa hoja badala yake tunapambanisha hoja na kejeli, matusi, n.k. Kosa la makala imekuwa kuwasifia Zitto na Kafulila kwamba walifanya kazi nzuri ya uongozi??!!

Mada yenyewe ni hii hapa kutoka gazeti la mwananchi.

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz
 
Professor Mkumbo ni janga la taifa, nawahurumia anaowafundisha kwani anazalisha kizazi cha hovyo hovyo kabisa kama akina Prof Muhongo a.k.a Prof. 'Muongo'.
 
Tanzania ilipata kuwa na Professor mmoja tuu wa ukweli,nae si Mwingine bali ni Professor Philemoni Sarungi pekee hao wengine sijui Muhongo,Kapuya,Maghembe,Tibaijuka,Mkumbo ni uchwara a.k.a wachumia tumbo wapo kundi moja na Professor Maji Marefu.
hapana! akina Prof Muhingo,Tibaijuka, Mwandosya, Mwakyusa na wengineo usiwaweke na kundi mmoja na mganga wa kienyeji (maji marefu). Huo wa Kitila inawezekana kaupata kama wa Kikwete lakini hao niliowataja ni Maprof wanaotambulika na kuheshimika kimataifa. Usifikiri Prof anaweza kufanya kitu na mfumo wa nchi chini ya chama tawala unavyotaka.
 
lusungo

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Kuna bosi wangu mmoja aliyenipokea siku ya kwanza kabisa nikiwa ndio naanza kazi aliniambia "Don't show me your cerificates because to me they only mean that your daddy had enough money to take you to school". Akaniambia ninachohitaji ni kazi yangu ifanyike with or without your certificate. Sasa the likes of akina Prof. Mkumbo ni kuwa wana vyeti pamoja na majina (prof) lakini mchango wake katika jamii unatia shaka wakati watu kama John Mnyika hawana hivyo vyeti wala majina lakini michango yao katika jamii haitiliwi hata chembe ya shala.

John mnyika anaweza kufanya kazi aliyoajiriwa nayo prof.Kitila mkumbo pale UDSM?

Acha dharau, udsm is not not that worse
 
Last edited by a moderator:
Profesa wa Mazingaombwe ana udugu wa damu na Majimarefu wote wametokea Mashewa Korogwe
 
Well, tunajadili hewa. Kama ulitaka kujadili mada yangu kwa nini usiweke hapa makala husika ili watu wasome? Na kwa nini tunadhani kwamba wote tunatakiwa tuwe na mawazo yanayofanana? Udhaifu moja tulionao ni kushindwa kukabili hoja kinzani kwa hoja badala yake tunapambanisha hoja na kejeli, matusi, n.k. Kosa la makala imekuwa kuwasifia Zitto na Kafulila kwamba walifanya kazi nzuri ya uongozi??!!

Mada yenyewe ni hii hapa kutoka gazeti la mwananchi.

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Nimesoma makala za waliokupinga kwa hoja na nimeona hoja zao zina nguvu kuliko zako mf. Kubenea.
 
mleta hoja umeongea mambo ya jumlajumla bila kusema kiufasaha hasa nini tatizo la prof Kitila

@Tosemarie ameleta hoja za jumlajumla sana kiasi ambacho nachelelea kutumia vidole vyangu kucomment lakin wengine wakajikuta wameingia mtego huo.

Nadhani ili tumtendee haki ni vema mleta mada akaweka hapa data zilizopelekea yeye kufikia tuhuma hizo then tuzichambue na tuone kama kweli hiyo huo uproffesor wake ni genune au kama zakwetu huku mtaaani.

Hata wazo la
 
Back
Top Bottom