Professor Mkumbo na siasa za hovyo

Professor Mkumbo na siasa za hovyo

Wakuu unajua wakati mwingine......Haya,hebu mwenye Paper yoyote ambayo Kitila ameandika alete hapa halafu tuijadili hiyo Paper badala ya kumjadili yeye kama yeye maana Uprofesa wa mtu unajadiliwa kwa ku-challenge paper yake kwa hoja na yeye aje aitetee

Kwanza ni wapi tulikompima katika taaluma yake ya Saikolojia hadi tuseme uprofesa wake una mashaka? Maana yeye ni mwanasaikolojia kitaaluma sidhani kama application yake inafanana na elimu ya nyota sijui unajimu

Tuwe sasa na honest and intellectual debate ! ! !

Kumshutumu mtu bila kuihoji kauli yake ni sawa na kupoteza muda...ikumbuke kuwa kila mmoja huwa na upekee katika kuwasilisha jambo na maana ya mzungumzaji hutofautiana na ya msikilizaji (implication). Ubaya na uzuri wa mtu upo kwa adhaniye. Kilicho kubaya kwa bwana A ndicho huwa kizuri kwa bibi Z na kinyume chake. Kuwa profesa ni mchakato mgumu na kueleweka katika jamii isiyo na uprofesa ni hatua ngumu zaidi. Wengi tunaojadili siasa na vyama bado hatuelewi hata definition sahihi ya siasa, tupo kama bendera...tujifunze kuzihoji kauli na mantiki zake na tusiwe wepesi wa kuwashambulia watu!!!
 
Well, tunajadili hewa. Kama ulitaka kujadili mada yangu kwa nini usiweke hapa makala husika ili watu wasome? Na kwa nini tunadhani kwamba wote tunatakiwa tuwe na mawazo yanayofanana? Udhaifu moja tulionao ni kushindwa kukabili hoja kinzani kwa hoja badala yake tunapambanisha hoja na kejeli, matusi, n.k. Kosa la makala imekuwa kuwasifia Zitto na Kafulila kwamba walifanya kazi nzuri ya uongozi??!!

Mada yenyewe ni hii hapa kutoka gazeti la mwananchi.

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Well,
Proff unayeshindwa kuona kuwa JK ndio tatizo katika issue ya Escrow,Proff ambaye huoni mbali zaid na kung'amua kuwa kuna udhaifu mkubwa sana kwenye vyombo vyetu vya usalama,msthalani TISS kwa kushindwa kuzuia Jambazi huu na kuishia kuandika Makala ndeeeeeefu kiwasifia Wapiga lele.
Inshort,Proff hujui concept ya Five WIFE and One HUSBAND.
PS
Now JK amepuuza Maazimio ya Bunge,then what next,utakuja na Makala gani.
Wewe ni Proff wa ajabu kabisa kuwahi kutokea kwa kujikita kumsifia Mwana Siasa mmoja kwenye kila Makala zako
 
Huyo kitila hana tofauti na mganga wa kienyeji,hana kitu anachokisimamia,makala zake nyingi ukizipima kwa kuzisoma zote kwa pamoja utagundua ni mjanja mjanja fulani hivi.

Kuna kipindi alikuwa anaandika makala juu ya UONGO,surprisingly kumbe na yeye ni muongo ajabu.
 
Binafsi mimi ni mpenzi na msomaji wa makala zako tangu zamani, hata pale ilipotokea upo fired CHADEMA spirit ya kusoma makala zako haikukoma sababu nina kiu ya kujifunza mengi hasa katika uringo wa siasa, so kuhusu nguvu za hoja zilizomo kwenye makala zako sizitilii shaka hata nukta.

Back to topic, Ni vyema sasa ukajitahidi kumuelewa mleta mada hasa katika maswali juu ya hatima yako kisiasa sababu kitendo cha wewe kufukuzwa kila chama unachoenda kinatia shaka sana kama kweli we upo sahihi katika nyendo zako kisiasa? Yani kwanini kila chama unachohamia wanakutimua? Au wewe ndo mwenye tatizo au kote huko hakuna the so called democratos?

Pia mleta mada kahoji kitendo cha wewe kukubaliana na takwimu za TWAWEZA na kuwapinga wale walioipinga huku ukisema takwimu hupingwa kwa takwimu, je mbona mwaka 2010 wewe pamoja na baadhi ya think tank wa CHADEMA mlipinga vikali takwimu za redit hata kabla hamjatoa takwimu? Lakini badae ndio mkatoa takwimu zenu, Je kipindi hicho wewe na wenzako mnapinga takwimu za redit hamkufahamu kuwa takwimu hupingwa kwa takwimu? Au Ndio kusema leo umegundua takwimu hupingwa kwa takwimu?
Safi sana.
 
Wakuu unajua wakati mwingine......Haya,hebu mwenye Paper yoyote ambayo Kitila ameandika alete hapa halafu tuijadili hiyo Paper badala ya kumjadili yeye kama yeye maana Uprofesa wa mtu unajadiliwa kwa ku-challenge paper yake kwa hoja na yeye aje aitetee

Kwanza ni wapi tulikompima katika taaluma yake ya Saikolojia hadi tuseme uprofesa wake una mashaka? Maana yeye ni mwanasaikolojia kitaaluma sidhani kama application yake inafanana na elimu ya nyota sijui unajimu

Tuwe sasa na honest and intellectual debate ! ! !
Spirit ya hiki ulichokiandika hapa ni kutokuwa judge watu kutokana na maneno yao bali matendo yao.

Kwamba tukae hapa na kusifia hoja za mtu ambaye kimsingi hana kazi ingine zaidi ya hiyo ya kuandikaandika huku tukifumbia macho matendo yake ambayo kwa kiwango kikubwa yanakinzana na kile anachoandika.

Wengine tunaimani kubwa kwamba,ukiachilia mbali makosa ya kibinaadamu,mtu anayefanya kitu kwa kukirudiarudia au kutetea matendo yake basi anafanya hivyo kwa kuelewa na si kupitiwa.

Huyu kitila,ni mtu anayetenda mambo tofauti na yale anayoandika.

Huyu yuko kundi moja na sitta.WANAFIKI.
 
Well,
Proff unayeshindwa kuona kuwa JK ndio tatizo katika issue ya Escrow,Proff ambaye huoni mbali zaid na kung'amua kuwa kuna udhaifu mkubwa sana kwenye vyombo vyetu vya usalama,msthalani TISS kwa kushindwa kuzuia Jambazi huu na kuishia kuandika Makala ndeeeeeefu kiwasifia Wapiga lele.
Inshort,Proff hujui concept ya Five WIFE and One HUSBAND.
PS
Now JK amepuuza Maazimio ya Bunge,then what next,utakuja na Makala gani.
Wewe ni Proff wa ajabu kabisa kuwahi kutokea kwa kujikita kumsifia Mwana Siasa mmoja kwenye kila Makala zako

Haaah haaah haaah hebu muache mwalimu bhana
 
Well,
Proff unayeshindwa kuona kuwa JK ndio tatizo katika issue ya Escrow,Proff ambaye huoni mbali zaid na kung'amua kuwa kuna udhaifu mkubwa sana kwenye vyombo vyetu vya Ousalama,msthalani TISS kwa kushindwa kuzuia Jambazi huu na kuishia kuandika Makala ndeeeeeefu kiwasifia Wapiga lele.
Inshort,Proff hujui concept ya Five WIFE and One HUSBAND.
PS
Now JK amepuuza Maazimio ya Bunge,then what next,utakuja na Makala gani.
Wewe ni Proff wa ajabu kabisa kuwahi kutokea kwa kujikita kumsifia Mwana Siasa mmoja kwenye kila Makala zako
Bramo
Achana na huyo socialist,ma socialists ni watu wenye tabia moja ya hovyo sana,huziamini fikra za kiongozi wao kiasi cha kumgeuza kuwa kama mungu,na mara zote fikra hizo huwa ni illusive,na zenye madhara.makubwa kwa jamii in the long run.

Hemu mwaga hiyo concept ya five wives kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Bramo
Achana na huyo socialist,ma socialists ni watu wenye tabia moja ya hovyo sana,huziamini fikra za kiongozi wao kiasi cha kumgeuza kuwa kama mungu,na mara zote fikra hizo huwa ni illusive,na zenye madhara.makubwa kwa jamii in the long run.

Hemu mwaga hiyo concept ya five wives kwanza.

Mkuu Sangarara

5WIH Concept.

WHAT,WHEN,WHERE,WHO, WHY and HOW

Katika issue ya Escrow nilitarajia Proff ajikite katika hizo aspects/frameworks hapo juu.
Hapo ndio angejua udhaifu Mkubwa Mamlaka zetu zina.

Kaishia kumsifia ZZK Mwanzo Mwisho.
 
Last edited by a moderator:
Ni jamii ipi unayoiongelea? wale wanafunzi wanaofundishwa pale udsm na Prof.Mkumbo sio wanajamii??

Mkuu unataka nini kutoka kwa Prof.mkumbo ili uuone mchango wake kwa hiyo jamii ambayo hata wewe mwenyewe huijui?
Anafundisha,anafanya tafiti na Anaandika journals na articles kila wakati.

Au unataka aje kukufagilia geto lako au akafagile soko la kariakoo ndo uuone mchango wake kwa jamii?

Aisee, tuna safari ndefu watanzania.

Kama mchango wake ndio kutoa wanafunzi vilaza kama wewe basi ni ukweli Tanzania tuna safari ndefu sana. By the way mimi siishi gheto naishi kwenye nyumba yangu ambayo nadhani hata huyo profesa wako msaka tonge hana.
 
Prof njoo utueleze what is way forward
 
Mwenye profesional papers za Kitila azipandishe hapa.
 
Back
Top Bottom