Professor, Dr halafu sio muislam?

Professor, Dr halafu sio muislam?

Ukifuatilia vizuri hao watu hawataki kabisa mambo ya midini yenu ya ajabu. Wengi wanakua si wakristo wala waislam, tena hususan wanaofanya mambo yanayohusisha theology. Maskini kapuku na wale wa shahada moja ndo wanahangaika na dini zinazotweza utu wao, jinsia zao, rangi zao, historia zao na tamaduni zao.
 
Professor, Dr halafu sio muislam? Hii inanipa shida sana katika akili yangu.
Why?
Kusoma kote huko hajauona ukweli?
Kwa akili yako unafikiri dini zinatofautiana? Agenda ya dini ni moja tu basi kumtawala mwanadamu, Wasomi wazuri wanajua kuwa haya mawazo ya pepo ni propaganda tu za kumfanya mwanadamu awe mtii na mnyenyekevu kwa watawala.
Soma vizuri dini yako halafu usiwe na mipaka fanya tafiti kwa kusoma vitabu vilivyokuwepo kabla ya dini yako, vilivyotokana na Clay Tablets, utagundua dini ni mchezo gani.
 
Waarabu wataka watu wengi wawe Waislamu ili wavune pesa kwenye Utalii wa Dini huko Maka:
Hija ni chanzo Bora sana Cha mapato ya nchi ya Saudi Arabia:
Pesa ya hija inakaribiana na pesa wanayo uza Mafuta:
Ndio maana wanafadhiri Hadi vikundi vya Kigaidi ili visilimishe watu kwa vitisho na mauaji:
Yaani Unakuwa mtu wa kuifikiria Saudi Arabia hadi unaamini Mungu na Shetani
wanaishia Saudi Arabia tu:

Wajinga Ndio waliwao
 
Kwa akili yako unafikiri dini zinatofautiana? Agenda ya dini ni moja tu basi kumtawala mwanadamu, Wasomi wazuri wanajua kuwa haya mawazo ya pepo ni propaganda tu za kumfanya mwanadamu awe mtii na mnyenyekevu kwa watalawa.
Soma vizuri dini yako halafu usiwe na mipaka fanya tafiti kwa kusoma vitabu vilivyokuwepo kabla ya dini yako, vilivyotokana na Clay Tablets, utagundua dini ni mchezo gani.
Atakuja amenuna. Maana hawapendi ukweli hao watu
 
Back
Top Bottom