Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,617
- 19,546
Ninapoangalia picha hizo, ninajiuliza kama kweli askari polisi wa Tanzania wanaijua profession ya upolisi sawasawa. Naona kama wengi wanajua kuwa jukumu la upolisi ni kutumia mabavu mahali popote.