duncan wa mbuji
Member
- Jun 12, 2013
- 44
- 8
Labda unabahati mbaya me nilifuatilia wiki2 ya tatu umeme ukawaka kwangu,kwa hiyo usipende kuhitimisha vitu bila kufanya tafiti za kutosha.
Mambo hayaendi kama wewe unavyotaka. Serikali inafata ratiba.
Toa kitu kidogo mkuu,bila hivyo utasubiri sana si unajua nchi yetu
Inabidi ukaulizie ngazi ya juu zaidi kama hapo wanakuhangaisha pengine wataka BAKSHISH! jaribu kuongea na wakubwa kidogo hapo ujue tatizo nini kama hawaeleweki unawawekea mtego unaongea na PCCB wanakuja kuchukua watu wao tumeshachoka sasa kama noma na iwe noma maana bongo rushwa ni kama imekuwa jadi!!!
Labda unabahati mbaya me nilifuatilia wiki2 ya tatu umeme ukawaka kwangu,kwa hiyo usipende kuhitimisha vitu bila kufanya tafiti za kutosha.
Mmoja wa mawaziri wataalam waliobobea kwenye masuala ya nishati na gas. Wakati anateuliwa na Raisi nilifurahi sana kwani alianza kutoa ahadi za wananchi kufungiwa umeme kwa muda wa mwezi mmoja kama umelipa. Nilijitahidi sana kutafuta hela ili nikaunganishiwe kwenye kibanda changu kilichoko eneo la usariver maeneo ya ngaresero nilijitahidi kukamilisha taratibu zote.
Hatimae zilikamilika januari 2013 chakushangaza mpaka leo hakuna kitu! Wananchi wa eneo lile tulijitahidi ili tujiunge wa 3 ili tupatiwe nguzo 1 tu ili iweze kutufikia wote lakini wapi! Kila ukienda ofisi ya Tanesko iliyoko maeneo ya usariver majibu ni kwamba subirini mpaka tumalize vijijini! Hivi hii ni haki kweli? Tangu january mpaka leo! Huu si ungwana hata kidogo.
SAME TIMES TUNAWASHUTUMU MAWAZIRI KUMBE HUKU CHINI WATENDAJI NI BOOM..
Waziri ebu fanya kazi