Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
tusilale kwa yapi
kwa magamba yenu maana haya vuliki
tusilale kwa yapi
huyo ni prof bila ubishi upeo wake uko juu sasa itakuaje kwa maana mwenyekiti wa cdm shule yake ni ndogo sana
iko vizuri sana hatateh! Wa ccm, yake kubwa xana!? Ha ha ha ha ha haha ha, kwi kwi kwi kwi kwi. Akhsante Dk. Makupa. Nimefatilia hoja zako cnc umejisajili hivyo, lakini bado mashaka na wacwac wangu ni kwenye hata familia inayokutegemea....! TEH.
iko vizuri sana hata
mtaendelea kupokea makapi kutoka vyama vingine mpaka lini
mwaka huu mtahangaika sana
ukweli unaumawe mbona unakuwa kama malaya... chama hakikuhusu unajisahauwa nini...acha mambo yako ya ushoga hapa
mwenyeki cdmelimu ya mwenyekiti au familia..!?
Hiki ndo chama cha kutupa uhuru wa kweli wa nchi yetu, Big up Mbowe fanya hivyo kwa kila kichwa kitakachokuja
sidhani kama matusi yanakujenga zaidi ya kuonyesha upeo wako kuwa ni mdogo kupita maelezowe mbona unakuwa kama malaya... chama hakikuhusu unajisahauwa nini...acha mambo yako ya ushoga hapa
Huyu jamaa ni kihiyo, ila anajitahidi sana kutumia elimu na maarifa ya wenzake kwa ajili ya kukuza chama chake.
Hamuoni kile chama chetu waislamu CUF kilikufa kutokana na Mwenyekiti wetu kutokutaka kuingiza wengine waje na mawazo mapya , kwenye hilo alichangia sisis waislamu kurudi nyuma hatua nyingine mia moja ndio maana leo tunaanza kuungana na wagalatia kwani hatuna pa kwenda.
sidhani kama matusi yanakujenga zaidi ya kuonyesha upeo wako kuwa ni mdogo kupita maelezo
mzee unaongea upupu, kuna sifa gani kujitangaza wewe ni mdini na kuita watu wagalatia hapa jamii forum,
please hii inakera heshimu dini za watu mkuu
mwenyeki cdm
hao wazee hawana msaada wowote kwa sasa hasa huyo Prof. wanatafuta maisha tu. angekuwa ameteua vijana wenye uwezo na wachapa kazi ningefurahi zaidi.
Hawa jamaa ni wajanja sana , kwani walisemwa kluhusu ukatoliki wao sasa naona wameamua kujibu kwa kuingiza mwenzetu huko tena wakatafuta mwenye siasa kali ili aweze kuwabeba wakina Shekhe Bassale na wenzake sasa hapo tumeliwa , kama waislamu tusipojipanga sawasawa hawa jamaa wanamkakati mbaya dhidi yetu.
Kwani wamewaona kina Zitto sio waislamu wa kweli mpaka wamuongezee huyu?
Ama ndio kapewa kazi ya kujibu mapigo ya udini?
Wakiwa Tabora walisema kuwa CCM ndio wanaumiza waislamu kwani hawajawa tayari kuwatetea hivyo , Safari alisema kuwa yeye kaamua kuingia huko ili kwenda kusimamia maslahi ya waislamu ....sijui lakini ila hawa wakatoliki ni wajanja sana sana.