Profesa Muhongo Aichana Mikataba ya IPTL, Songas na Agreco, Asema Haina Tija Yoyote kwa Taifa

Kama waziri hapaswi kuilalamikia mikataba mibovu,huu ni udhaifu wa kiwango cha juu kiutendaji.Muhongo ajipime kama bado ana uhalali wa kuwa waziri mwenye dhamana ya nishati na madini.
Tetea hoja yako, la sivyo endelea kulala!
 
Na tulivyokuwa hatuna umeme hata wa kuwashia incubator za vi njiti mahospitalini ilikuwa ni mizuri tu.

Kwa sasa tuishi nayo mpaka itakapokwisha na tutakapo jitosheleza na umeme wetu wenyewe.

Ahsante sana Kikwete kwa kutuletea Kinyerezi I, II, III na IV, ni njia pekee ya kututoa kwenye mikataba mibovu ya enzi za Mkapa.

Symbion mbona haikutajwa?
 
Mimi nilizani ameifuta hiyo mikataba kumbe anaongelea hadithi njoo utamu ukolee!!! kama anajua hana ubavu wa kusitisha hiyo mikataba inayompa kula kikwete na familia yake ni bora hata asingesema chochote kuihusu hiyo mikataba maana hii ndo chakula cha chama chetu cha kijani. Ili Magufuli aonyeshe uzalendo wake kwanza ni lazima aifute hiyo mikataba bila hivyo ufisadi haujapata kingozi wa kuuondoa bali itabaki porojo tu kama anavyoongea Muhongo hapo juu.

mleta maada anampongeza Muhongo kwenye hakuna, kwakuwa Waziri anajua fika hiyo mikataba ni hasara kwa taifa sasa anasubiri nini kuisitisha tena bunge lililooita lilishafikia maamuzi juu ya ipitl lakini hadi leo bado inapeta tu.
 
Hapa kazi tu, sijawahi kuwa dissappointed na huyu Professor, ktk maprofessor waliopo madarakani nafikiri ndo anayeitendea haki kiufasaha zaidi fani yake!!
JEMBE!!
Lini wewe binafsi uliwahi kupinga hii mikataba au ni lini uliwahi kuunga mkono hoja za wapinzani za kupinga hii mikataba?Acheni unafiki nyie watu!
 
Muhogo aache kuudharalisha uprof wake.... Hiyo mikataba kakaa nayo zaid ya miaka5 sasa...Prof gani unakuwa na lugha zinazokinzana na unaliona tatizo hulitafutii ufumbuzi?? Muhogo aache uongo
 
Huyu mzee mimi nilisema anafaa sana kuwa waziri watu wakanipinga mpaka ukawa wenzangu wakanipinga
Ulizaliwa wapi mkuu au Hiroshima? huyo Prof wako wa miamba ameshazilipa kampuni zinazoliibia taifa hili kwa zaidi ya miaka miwili (serikali ya awamu ya nne)na bado anaendelea kuzilipa katika serikali ya Magufuli halafu anakuja kulalamikia umma wa watanzania waoibiwa kupitia kodi zao.Hii ni sawa na kulalamika kitanda kina KUNGUNI halafu usiku unaenda kukilalia.Huu ni ujuha uliokomaa.
 
Mi-CCM eti leo ndio inakiri huu uozo!That is why i hate CCM.Wapinzani wamewabeza kwa kupinga hii mikataba alafu leo ndio yanajidai kushituka na kuna mijitu iliyokuwa inaunga mkono misimamo ya serikali kutetea mikataba hii ila kwasababu leo hii mibovu serikali imekiri kuwepo kwa uozo huu wa mikataba,basi na yenyewe leo yatajitokeza hapa mtandaoni na kwenye media kuipongeza serikali.Ovyo kabisa hawa watu.
Hongera Mlowassa....wewe upo upande gani?
 
Lini wewe binafsi uliwahi kupinga hii mikataba au ni lini uliwahi kuunga mkono hoja za wapinzani za kupinga hii mikataba?Acheni unafiki nyie watu!
Wewe umeanza lini kuwa mpinzani wa sisemu?? Tuanzie hapo kwanza!! Wewe ni MNAFIKI na unatakiwa uogopwe kama kifo.
Katafute comments zangu humu ktk mijadala ya escrows etc, utapata msimamo wangu!!
 
Ulizaliwa wapi mkuu au Hiroshima? huyo Prof wako wa miamba ameshazilipa kampuni zinazoliibia taifa hili kwa zaidi ya miaka miwili (serikali ya awamu ya nne)na bado anaendelea kuzilipa katika serikali ya Magufuli halafu anakuja kulalamikia umma wa watanzania waoibiwa kupitia kodi zao.Hii ni sawa na kulalamika kitanda kina KUNGUNI halafu usiku unaenda kukilalia.Huu ni ujuha uliokomaa.
Unajua maana ya mikataba??
 
Prof Muongo huyu huyu alimsema vibaya Zitto Kabwe juu ya mkataba wa IPTL akisema kwamba anaushapilia ili kuwakomoa maadui zake wa kisiasa.Leo anakula matapishi yake na kukiri ni mkataba mbovu.
Lowasa dhaifu ~~ Mbowe
Anayemuunga mkono lowasa akapimwe akili ~~~ Msigwa
Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi lowasa ~~~ G Lema.
 
Ulizaliwa wapi mkuu au Hiroshima? huyo Prof wako wa miamba ameshazilipa kampuni zinazoliibia taifa hili kwa zaidi ya miaka miwili (serikali ya awamu ya nne)na bado anaendelea kuzilipa katika serikali ya Magufuli halafu anakuja kulalamikia umma wa watanzania waoibiwa kupitia kodi zao.Hii ni sawa na kulalamika kitanda kina KUNGUNI halafu usiku unaenda kukilalia.Huu ni ujuha uliokomaa.
Yeye kazikuta, akaelekezwa aendelee kuzilipa angefanyaje
 
Muhogo aache kuudharalisha uprof wake.... Hiyo mikataba kakaa nayo zaid ya miaka5 sasa...Prof gani unakuwa na lugha zinazokinzana na unaliona tatizo hulitafutii ufumbuzi?? Muhogo aache uongo
Ebu tuambie, ni lini alisema hii ni mikataba mizuri kwa taifa na je ulitaka alipigie simu akwambie alichojatibu kufanya bila kufanikiwa kuhusu kupogana na hiyo mikataba mibovu??
 
muhongo awache porojo. tunachotaka kusikia ni kusitishwa mikataba ya kinyonyaji/wizi yote. ufundi wa kisheria uliotumika kuwela mikataba hiyo ya kinyonyaji/wizi ndio utumike kuisitisha. sio uhuni halafu tunapelekwa mahakani kudaiwa mamilioni. hao wanasheria mafundi wa wizi uwezo wa kunasua wanao vinginevyo nguvu ya umma itumike kuwahukumu wahusika wote. tuko nyuma yako jpm.
Mikataba haivunjwi kama kuni kuna utaratibu
 
Huyu mzee mimi nilisema anafaa sana kuwa waziri watu wakanipinga mpaka ukawa wenzangu wakanipinga
sasa anafaa kwa lipi kwa kusema kuwa hiyo mikataba si mizuri kwa Tanzania kitu ambacho kila mtanzania anajua, mimi nilidhani analeta mikakati ya kuondokana na hiyo mikataba
 
Back
Top Bottom