Prof. Sospeter Muhongo: Mapendekezo ya Mpango wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,897
941

LEO BUNGENI: MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 - Mchango wa Prof Muhongo

Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ameshauri yafuatayo:

*Mipango yetu ya maendeleo ilenge kupunguza umaskini kwa kasi kubwa

*Uwekezaji wetu ulenge kupunguza umaskini kwa kasi kubwa

*Uchumi wetu ukue kwa kasi ya asilimia 8-10 (8-10%) ili kupunguza umaskini kwa kasi kubwa

*Mipango na Bajeti zake vishughulikie mahitaji muhimu ya kila siku ya Wa-Tanzania, k.m. chakula, maji, umeme na matibabu.

*Vipimo vya upatikaji wa huduma muhimu kwa vile maji na umeme, viweke maanani matumizi halisi ya mtu mmoja mmoja kwa mwaka

Tafadhali sikiliza CLIP/VIDEO kutoka Bungeni - imeambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Alhamisi, 9.11.2023
 
Naunga mkono hoja, nimesoma Mpango wa Serikali haijasema inalenga kukuza uchumi wa kiasi gani kufikia mwaka gani?
 

LEO BUNGENI: MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 - Mchango wa Prof Muhongo

Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ameshauri yafuatayo:

*Mipango yetu ya maendeleo ilenge kupunguza umaskini kwa kasi kubwa

*Uwekezaji wetu ulenge kupunguza umaskini kwa kasi kubwa

*Uchumi wetu ukue kwa kasi ya asilimia 8-10 (8-10%) ili kupunguza umaskini kwa kasi kubwa

*Mipango na Bajeti zake vishughulikie mahitaji muhimu ya kila siku ya Wa-Tanzania, k.m. chakula, maji, umeme na matibabu.

*Vipimo vya upatikaji wa huduma muhimu kwa vile maji na umeme, viweke maanani matumizi halisi ya mtu mmoja mmoja kwa mwaka

Tafadhali sikiliza CLIP/VIDEO kutoka Bungeni - imeambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Alhamisi, 9.11.2023
Mbunge azidi kupambania Barbara ya musoma mjini Hadi majina,,kazi nzuri mbunge,tuna mbunge mpambania, maendeleo musoma vijijini
 
Wabongo we wapige maneno mengi tu,utawaokota

Hata hivyo uchaguzi unakaribia

Ova
 
Yote ni bure bila kupambana na ufisadi huu wa kutisha uliotamalaki. Watu wanaiba trillions hata uchumi ukikua kwa asilimia 100 kama mtu wa kawaida hafaidiki na ukuaji huo wa uchumi ni kazi bure.

Kamwe hatutaweza kuendelea wala kupunguza umasikini bila kupambana na ufisadi huu wa kihayawani...

IMG-20231103-WA0100.jpg
IMG-20231103-WA0096.jpg
IMG-20231103-WA0101.jpg
 
Huyu mwamba awe Waziri wa fedha au mipango maana anajua mpaka anakera
Huyo katembea na kuishi uko Dunia ya kwanza,sasa huyu Waziri wa fedha na Waziri wa Mipango wote walikuwa Wachunga ng'ombe na punda Singida wakaja Dar kwa kufaulu Sekondari alafu wanakabidhiwa Wizara nyeti, only in Tanzania!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom