Profesa Elifas Bisanda amemaliza kila Kitu kuhusu PT, JWTZ japo sijajua kwanini hajawataja na TISS ambako pia kuna Mapungufu kwa sasa

Ninachokijua tu ni Wewe Kukazwa nao sana.
Hakuna asiyejua tabia yako ya kuuza kalio zilizokomaa hapo kawe na wateja wako wakubwa ni wanajeshi, ngoja tukuandalie file lako wewe popoma uliyekosa malezi ya baba yako mzazi.
 
Hakuna asiyejua tabia yako ya kuuza kalio zilizokomaa hapo kawe na wateja wako wakubwa ni wanajeshi, ngoja tukuandalie file lako wewe popoma uliyekosa malezi ya baba yako mzazi.
Umeshahama katika hiyo Nyumba hapo iliyo jirani na Mtaro Mkubwa na Umeshalipa Kodi ili usije kutolewa Mizigo yako na hilo Kochi lako bovu, chafu na lililooza?

Ndiyo maana huyo Mpemba hapo Jirani anakukazia Mkeo ukiwa unawajibika jirani na Lugalo Golf Court. Pumbavu....!
 
Plato aliwahi kutenga watu katika makundi 3 kutokana na uwezo wao wa kiakili kama ifuatavyo:
1. Golden boys- Hawa ni akili nyingi na alisema wanafaa kuwa watawala.
2. Silver boys-Wako average ( Hapa ndo vyombo vya ulinzi vinaingia)
3. Iron boys-Hawa ni wale wanaotumia nguvu zaidi kuliko akili.

Hivyo Kwa kigezo Cha Plato prof hayuko perfect Sana.
 
naungana na wewe kuhusu hili.Ufaulu mzuri kwenye cheti kama ndio kigezo ubightness tutakuwa tuna jidanganya tena sana jambo ambalo naona nilamsingi ifanyike veting kuazia madarasa ya chini tunapo taka ku recruite watu wakada flani ambayo ni sensitive katika nchi vinginevyo tutakuwa tunajidanya .kufaulu mtihani mmoja wa mwisho kwa kupata one sio kigezo cha exceptional ability in learnig and reasoning kuliko waliopata div two au div three.
 
Kwa hiyo waendelee kuchukua div four na zero siyo??
 
Kwa hiyo waendelee kuchukua div four na zero siyo??
Naungana na jamaa

Ameshasema "watafute njia nyengine" hajasema "wachukue dvsn four"

Hao wenye first class vyuoni ndio wenye kadi za vyama huku wakiaminisha wengine "ukiwa na kadi y chama unapata kzi mapema baada ya masomo"
 
Prof kuwa Nafikira Kuwa division one ni the best ni Ujinga huo, Prof amesome ila hajaelemika kabisa Anasahau kuwa Elimu yetu iko based theoretically zaidi Na Kukariri Anasahau vitu kama Exposures, Afu pia kwa mshahara gani wa askari niacha kwenda chuo nikahenyeke uko??
 
Ukirundika wasomi watakimbia vifaru frontline, wasomi hasa maafisa ni muhimu ila siyo wapiganaji wote. Mabomu yaacheni jamani, wasomi hawataki kuvuja jasho, waoga sana, kuna wachache sana wanaoweza kashikashi za kimedani.

Polisi ndiyo inahitaji asilimia kubwa wawe na elimu kuanzia form six na degree nakuendelea, kwa sababu wanahitajika kuelimisha jamii na kusimamia sheria za nchi.
 
Labda division 1 ya miaka 80s or 90s si hii ninayo iona. Tusidanganyane. Wapi makazini lakini performance yao ni chini kabisa.
 
Hawakukupima njia kubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…