MJIMPYA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 506
- 272
Acheni kujidhalilisha,
kenya nako kuna watu kibao hawawezi kuelewa kingereza vizuri. Hawa jamaa mnawapa sifa wasizokuwa nazo.
Kwani hata nyie waTZ mnaokijua kingereza huwa mnasoma hizo sheria. Hatuishi kwa kusoma sheria kila siku, utasoma ngapi bana.
kenya nako kuna watu kibao hawawezi kuelewa kingereza vizuri. Hawa jamaa mnawapa sifa wasizokuwa nazo.
Kwani hata nyie waTZ mnaokijua kingereza huwa mnasoma hizo sheria. Hatuishi kwa kusoma sheria kila siku, utasoma ngapi bana.