Prof UDSM hoi kwa "kidhungu"

Prof UDSM hoi kwa "kidhungu"

Majita

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2008
Posts
609
Reaction score
192
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

hii ndo tanzania, maprof wana digrii za kikuda na vyeti vya kuungaunga-by roma
 
mungu wangu naangalia kipindi cha this week in perspective namsikia prof.gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå löw confidence akificha weaknesses zake kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.udsm pro? Ooooh my gosh!!!
huo ni ulimbukeni wako mkuu, mbona hao wadhungu unaowahusudu nao wanachapia kiswahili? Hicho kidhungu siyo lugha yetu......hivyo prof. Akichapia sioni cha ajabu nini......acha chuki binafsi banaaaaa!!!
 
Kama wanafunzi wake kwenye taaluma yake wanamwelewa anachowafundisha wewe hiyo lugha ya kizungu unayotaka aongee ni ipi. Kiswahili chenyewe wewe kimekushinda unaandika kidhungu badala ya kizungu sasa ikiwa kiswahili tu kinkutoa mbio kweli unaweza kumsema professa hajui kizungu.Kama ameongea na kueleweka alichosema inatosha.
 
Kama wanafunzi wake kwenye taaluma yake wanamwelewa anachowafundisha wewe hiyo lugha ya kizungu unayotaka aongee ni ipi. Kiswahili chenyewe wewe kimekushinda unaandika kidhungu badala ya kizungu sasa ikiwa kiswahili tu kinkutoa mbio kweli unaweza kumsema professa hajui kizungu.Kama ameongea na kueleweka alichosema inatosha.

Ni kweli mkuu,kuchapia kupo tu.
 
huo wako ni ulimbukeni, angechapia kiswahili kidogo ningeshangaa! sisi wabongo ndo kazi yetu kuhusudu vya watu wakati vyetu tunavyo...hiyo lugha unaweza kukuta ni lugha yake ya 3 still unaleta unaleta dharau! kujua kiingereza its nothing ni lugha kama zingine
 
msimshangae sana
lakini kama ni prof wa kutafiti na ambae ameshafanya publication nyingi walau angenyoosha lugha
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

hii ndo tanzania, maprof wana digrii za kikuda na vyeti vya kuungaunga-by roma

Namfahamu vizuri prof Mpangala, amenifundisha UDSM na tena kipindi nimekiangalia. Sijaona kuchapia kokote zaidi ya UZUSHI huu!.. Mzee huyu ni smart. Hata darasani ananondo nzuri za kueleweka kuhusu population issues ambazo hufundisha kwa kizungu bila chenga.
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!
Acha chuki zako wewe, unajua kizungu wewe? Yaani fikra za kikoloni bado zinatutawala.
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

Majita kwani Prof. Mpangala ni professor wa literature au vitu vifananavyo? Kwani ukiwa Prof lazima ujue kiingereza?
 
Last edited by a moderator:
hata mi nilimuangalia nikabaki nimepigwa butwaa,tangu tuondokewe na prof. Othman idara ya DS mliman imebaki na maprofessor wa kichina.
 
Back
Top Bottom