Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.
‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.
Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.
Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.
Chanzo: Gazeti la Mwanachi,
Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.
Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
Wanabodi, Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa, japo mimi nina chama, ila sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, hili ni Bandiko la Pongezi Kwa Mbunge wa Mtera, Mhe. Livingstone Lusinde. Naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa...www.jamiiforums.com
kale kamgao kake ka pesa ya mboga hajali hata kwenda kumwekea mwenzake mzamana, kweli wahaya ni bogus sana.
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.
‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.
Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.
Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.
Chanzo: Gazeti la Mwanachi,
Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.
Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
Wanabodi, Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa, japo mimi nina chama, ila sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, hili ni Bandiko la Pongezi Kwa Mbunge wa Mtera, Mhe. Livingstone Lusinde. Naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa...www.jamiiforums.com
But kasema kitu muhimu Sana
Mf rahisi ni H. Slow slowMkuu;
Umetumia kigezo/vigezi gani kuujua ujinga, upumbavu na taahira kwa watu wanaoingia na kutoka CCM?
Naomba unielimishe!
Nakubaliana na hoja ya kwamba kuangalia Uwezo wa mtu kiutendaji na siyo cheti.Kuna hoja gani ya maana na yenye maslahi kwa nchi imewai kuwasilishwa na Lusinde?
kwa kifupi bunge letu limejaa viazi na wavivu wa kusoma, hata miswaada inayopelekwa pale wengi wao hawasomi, enzi hizo walikua wanategea Tundu Lissu asome kisha aibue jambo ndipo wote waanze kuvutana kwa hoja za kipuuzi. Huyo Tibaijuka ni walewale wanaoishi kwa fikra za mwenyekiti. DHAIFU wakubwa hawa
Maccm huwa hayana aibu, JK naye walimpa mpaka PhD halafu wakawa wanamwita Dr. JK, eti naye akawa anafurahi na kucheka cheka
Kuna watu walikuwa wanafanya kazi vizuri tu tena walikuwa wako smart Sana wangewaacha tu
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.
‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.
Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.
Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.
Chanzo: Gazeti la Mwanachi,
Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.
Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
Wanabodi, Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa, japo mimi nina chama, ila sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, hili ni Bandiko la Pongezi Kwa Mbunge wa Mtera, Mhe. Livingstone Lusinde. Naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa...www.jamiiforums.com
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba lichaya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.
‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.
Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.
Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.
Chanzo: Gazeti la Mwanachi,
Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.
Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
Wanabodi, Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa, japo mimi nina chama, ila sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, hili ni Bandiko la Pongezi Kwa Mbunge wa Mtera, Mhe. Livingstone Lusinde. Naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa...www.jamiiforums.com
‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.
Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.
Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.
Chanzo: Gazeti la Mwanachi,
Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.
Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;
[/ kii]Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
Wanabodi, Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa, japo mimi nina chama, ila sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, hili ni Bandiko la Pongezi Kwa Mbunge wa Mtera, Mhe. Livingstone Lusinde. Naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa...www.jamiiforums.com
Hoja ya kuhudisha uwezo wa mtu na vyeti litaisha pale tutakaporekebisha sheria kuwa sifa ya kuwa mbunge ni shahada ya Chuo kikuu. Watumishi walifukuzwa kazi bila kulipwa kiinua mgongo kwa huduma walizotoa wakati wa utumishi wao. Baadhi
ya wawakilishi wetu walishangilia kitendo hicho.
Ili Wabunge watambue umuhimu wa elimu Katiba yetu irekebishwe Na kuweka sharti kuwa Ili uwe Mbunge lazima uwe Na shahada ya Chuo kikuu. Ukweli Ni kwamba mshahara Na marupurupu ya Wabunge haiwiani kabiss Na sifa yao ya kielimu. Ndiyo sababu Maprofesa wa vyuo vikuu wanaacha kazi hiyo na kwenda kugombea Ubunge. Lusinde hana sababu ya kujiendeleza kwa sababu maslahi yake yanalingana Na ya Prof. Tibaijuka.
Such nosense only comes from hopeless minds.