Prof. Tibaijuka: Mbunge Lusinde ana elimu ya Uzamili (Masters) lakini hana cheti

Nakubaliana na hoja ya Tibaijuka kuwa kuna watu hawana vyeti lakini uwezo wao ni mkubwa.

Sikubaliani na Tibaijuka kuhusiana na Lusinde. Lusinde, upeo wake ni mdogo, akili yake ni ndogo na uwezo wake ni mdogo pia. Sijui kama kuna mtu anaweza kueleza uwezo mkubwa wa Lusinde upo katika nini!
Ww ni poyoyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uyu Lusinde si ndio yule anayetuka sana na kukera au namfananisha?

si ndiye level ya akina Musiba,Bwege,msukuma na yule wa miaka 7.!?

mi naonaga wana PhD kama yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MsemajiUkweli umeleta hoja dhaifu umekosa hata watetezi unaipigania mwenyewe. Lusinde na Msukuma sio viongozi wanaofaa kwa kizazi hiki maana kipaji chao cha kubwabwaja wana kitumia vibaya

Lazima tuseme ndio tutaeleweka!
 
huyu mama naye akili yake inahitaji major overhaul, unaanzaje kuliona taahira sawa mtu mwenye masters
 
Working Experince is everything, Uzoefu wa kazi ni kitu muhimu kuliko vyeti..
 
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.

‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.

Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.

Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.

Chanzo: Gazeti la Mwanachi,

Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.

Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;

Mama aache kututukana watu wenye masters. Unajua mtiti wa kuipata masters ww au unaongea tu ili kusifia kama kawaida yenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
%90 ya wabunge wa upinzani wanawakilisha mawazo ya waliowatuma (wapiga kura) na %90 ya Wabunge wa ccm wanawakilisha mawazo ya waliowatuma (chama chao)
Nifafanue kidogo, michango ya wanaccm Bungeni yanakuwaga ni mawazo ya chama."AWAZAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO")
ndio maana mtu mmoja akasema "ukimchukua Malaika saa moja asubuhi ukamweka kwenye kundi la Ccm kufika saa sita mcha atakuwa amebadilika na kuwa Shetani.

Nataka yeyote amwenye hoja ya Jimbo au Taifa aliyowahi kuileta Lusinde anyooshe mkoni atweleze ni hoja ipi.

Lusinde, Simbachawene, Mwigulu Msukuma, Kange, Jenestha na wengine wengi akiri zao ni vyama sio wananchi, kutwa nzima ni mipasho na vijembe uku majimbo yao yakibaki nyuma kimaendeleo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.

‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.

Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.

Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.

Chanzo: Gazeti la Mwanachi,

Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.

Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;

Hivi kweli professor mzima anaweza kutamka maneno haya?
Kuna elimu na uzoefu, halafu kuna busara na ujuzi. Mtu mwenye kipaji cha matusi leo aonekane kwamba ana elimu kiwango cha masters kwakuwa tu ni mbunge? Tunaenda mbele au nyuma? Watoto wetu wakisikia professor amesema hayo watasoma kweli?
Ndiyo maana Bunge liko dhaifu!
Sitoshangaa 2020 likajaa vibajaji tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.

‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.

Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.

Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.

Chanzo: Gazeti la Mwanachi,

Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.

Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;

Hivi Lusinde huwa anaongeaga point zipi bungeni za kumfanya prof. Tibaijuka aseme anauwezo mkubwa? Au ile michango yake kuwa shilingi inashuka kwasababu noti zetu zimechorwa wanyama. Au ile kusema tusifanye uchaguzi wa rais kukwepa gharama bila kujua gharama za kurofanya uchaguzi ni kubwa zaidi kwa mstakabali wa nchi huko mbeleni kulikoni kutokufanya uchaguzi? Ni kipi Lusinde alishawahi kusema au kukifanya cha kuweza kumlingasha na mtu mwenye masters? Au mama Tibaijuka naye kaanza kuzeeka? Prof. Kabaki Asad tu
 
Labda degree ya uropokaji
Prof. Anna Tibaijuka ameyasema hayo wakati akichangia mjadala bungeni kuhusu wananchi waliokumbwa na zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa Umma huku akitoa mfano wa Mbunge wa Mtera (CCM) Livingston Lusinde kwamba licha ya elimu yake ya darasa la saba lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye shahada mbili.

‘’Tukiangalia humu bungeni, Lusinde huwa anapenda kujiita darasa la saba lakini mimi ninamjua huyu ana masters (Shahada ya Uzamili) ni kwamba hana cheti tu. Sasa unaona kwamba ni perspective, Lusinde hawezi kusema ni darasa la saba, sio darasa la saba, elimu yake huyu mtu ana masters tena zaidi lakini sasa sababu ya certification, sisi tumekwama kwenye certification kwa hiyo tunashindwa kwenda mbele kama taifa. Kwa hiyo hilo naomba tuliweke kuwa ni muhimu sana’’.

Prof. Tibaijuka amesema kuna wafanyakazi wengi ambao walikuwa na uwezo mkubwa katika maeneo yao lakini wamejikuta wakifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa vyeti.

Amesema ni vizuri serikali ikaangalia pia uwezo wa mtu kuliko kuangalia vyeti peke yake kwa sababu kutokuwa na cheti hakumfanyi mtu kutokuwa na uwezo katika eneo lake la kazi.

Chanzo: Gazeti la Mwanachi,

Angalizo:
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana na hoja ya Prof. Tibaijuka kwa sababu pia kuna watu wengine kama Mbunge John Mnyika ambaye elimu yake ni kidato cha sita lakini uwezo wake ni zaidi ya mtu mwenye cheti cha Uzamili.

Ninakumbuka tuliwahi kujadili sana uwezo wa Lusinde baada ya mdau mmoja hapa Jamiiforums ( Pascal Mayalla ) kuleta mada (Thread) kuhusu uwezo wa Mbunge Lusinde kwenye Mada hii;


In God we trust
 
Mkuu;
Umetumia kigezo/vigezi gani kuujua ujinga, upumbavu na taahira kwa watu wanaoingia na kutoka CCM?

Naomba unielimishe!
Wewe mwenyewe ni mfano uliodhahiri kwa vitu unavyoviandika humu jukwaani...jichukulie mfano wewe mwenyewe...
 
Back
Top Bottom