Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

unabishana na official ID ya Lumumba?
hata kama Mkuu zumbemkuu ndio mtu ujitoe ufahamu kwa kucoment kiiiiila kitu tena kwa mrengo ambao unajua moyoni huko sahihi? Huyu na Fazafoxy wananifanya niamini kuna watu wameshikwa akili sana kwenye hii nchi
 
Jimbo moja la Zanzibar unaweza kuwaita watu wote kwa filimbi tu.....Mh Keissy.
 
ccm ni chama cha wahuni na washenzi wakubwa wameitana kwenye kuongea kuhusu hii bajeti wanapiga tuu makelele jioni wanaipitisha
 
Mkuu uko sahihi, mwanzoni nilipokuwa nasikia kuna watu wanalipwa buku 7 kwa kushinda humu nilikuwa napinga, lakini sasa naamini kwani kuna watu muda wote wapo hapa na mbaya zaidi wanatetea mambo ya kifisadi. Haiwezekani uwe uko hapa 24 hrs! huna kazi ya kufanya? unapata wapi pesa ya kifurushi kama hata kazi hufanyi? wewe umekuwa mods?
Sasa mkuu wanalipwa? Au waniambie wako kitengo gani cha chama maana wao kutwa kucha ni kutetea uovu tu. Kweli Mungu aliumba watu wa ajabu
 
CCM ni chama makini na kinaendesha mambo yake kwa umakini
Posho Lumumba hata kipofu anaona wizara ya huyu mama lkn ciombaya lzm utetee ukijani wakubwa wananufaika wewe hoehae unapiga makofi huku wakikurushia makombo Dah cjui nani kawaroga
 
Ccm haiwezi kuingiza taifa kwenye matatizo subiri majibu yenye hoja za maana zenye kulenga kutatua kero za watu kwa pamoja na utaifa wao.
 
Mwanaume lumumba ni Ally kessy tu, jana kawaonyesha zanzibar njia nyeupeeee!!!! Hahahaaa sasa hizo serikali mbili sijui zitapatikanaje zanzibar ikisepa? Mi ccm ni mizigo.
mkuu ongezea kangi lugola na deo filikunjombe!
 
CCM ni chama makini na kinaendesha mambo yake kwa umakini
Posho Lumumba hata kipofu anaona wizara ya huyu mama lkn ciombaya lzm utetee ukijani wakubwa wananufaika wewe hoehae unapinga makofi huku wakikurushia makombo Dah cjui nani kawaroga
 
hahaha, jamaa kawaua mbaya, loh. kama wee mzenji lazima ushikwe na jazba.

Ajabu ni kwamba walioshikwa na jazba ni wabunge wa VUF tu. Wabunge wa CCM Znz walitulia tulii.....dawa ikaingia sawasawa.
 
Mdee amebwabwaja tu na kelele nyingi zisizo na mantiki .

Ukweli unauma sana.Pole,ila ameongea ukweli bila chenga.Watumishi wa wizara hii wanahitaji kubadilika sasa,maisha bila ardhi kwa mtu wa kawaida ni sawa na kumnyonga hadi kufa.
 
CCM ni chama makini na kinaendesha mambo yake kwa umakini

Ubongo wako umetafunwa na u CCM.Bajeti ya wizara imesomwa hadharani wabunge wameipinga hadharani.CCM wamewaita wabunge wake mafichoni wanakwenda kuwafanya nini?au umakini wa CCM uko mafichoni?.
 
Ccm haiwezi kuingiza taifa kwenye matatizo subiri majibu yenye hoja za maana zenye kulenga kutatua kero za watu kwa pamoja na utaifa wao.

Iliingize Taifa kwenye matatizo marangapi?wakati Taifa linaogelea kwenye dimbwi la matatizo yaliyosababishwa na CCM.
 
ninao uhakika kwamba TIBAIJUKA ndiye waziri mbovu kuliko wote waliopo .
 
Back
Top Bottom