DOKEZO Prof. Shukuru Manya, Naibu Waziri wa Madini yuko wapi na analipwa kwa kazi gani?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
13,599
22,530
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania.

Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa.

Cha kushangaza na kusikitisha nafasi aliyokuwa nayo huko Tume ya Madini, awali ilikaimishwa mtu hadi leo imekaimishwa tena mtu asiye na CV ya hiyo kazi.

Matokeo yake Tume ya madini kila mtu anafanya lake tena bila uoga.

Huyu Professor mwambieni aliko asaidie watanzania walio maskini kwani alisomeshwa kwa kodi za watanzania, analipwa mshahara mkubwa kwa kodi zetu na yafanyi kazi yoyote.
 
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania.

Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa.

Cha kushangaza na kusikitisha nafasi aliyokuwa nayo huko Tume ya Madini, awali ilikaimishwa mtu hadi leo imekaimishwa tena mtu asiye na CV ya hiyo kazi.

Matokeo yake Tume ya madini kila mtu anafanya lake tena bila uoga.

Huyu Professor mwambieni aliko asaidie watanzania walio maskini kwani alisomeshwa kwa kodi za watanzania, analipwa mshahara mkubwa kwa kodi zetu na yafanyi kazi yoyote.
Unataka aje bila kuitwa na wenye meza?
 
Mbunge wa Kuteuliwa. Alipewa Unaibu Waziri enzi za JPM. Sasa katemwa kabaki Mbunge kama Bashiru. Ila jamaa yupo smart sana kichwani
Kiustaarabu ukiteuliwa na RAIS kuwa Mbunge ili akupatie uwaziri,pindi anapotengua uwaziri wako si ni kheri ujiuzuru na ubunge ...au ubunge autenguliwi mpaka mhusika akose vigezo na mahakama ithibitishe!?
 
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania.

Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa...
Uko nyuma ya wakati ndugu. Mwenzio ni mbunge wa kawaida tu.
 
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania.

Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa...
Wewe unaishi nchi hii? Manya aliisha nyangwanywa huo unaibu Waziri, sijajua alipewa mzanzibar au mwisiramu, maana Sasahivi nipunguza wasoma rozali, ila ngoja nifungue mafaili yangu nione kapewa nani.
 
Sasa kwenye utawala wa Mama watu wenye akili kama Prof.Shukuru wanini yakhe!
Mama anataka watu wa kawaida kama Nape,Ridhiwan na January et al!
 
Sasa kwenye utawala wa Mama watu wenye akili kama Prof.Shukuru wanini yakhe!
Mama anataka watu wa kawaida kama Nape,Ridhiwan na January et al!
Duu kwahiyo unamaanisha anataka magalasa ?
 
I met him once,he is very very smart,anaijua vzr sana sekta ya madini.Ila si Naibu waziri tena.
Katika kosa lililofanyika awamu ya 6, ni kumuondoa Professor Shukuru Manya( msomi mzuri wa madini) na kumuacha Mwalimu Doto Biteko kuwa Waziri wa Madini’.

Kweli Tanzania imebadilika kuita kiasi, Cheo chake cha awali kule Tume ya Madini hadi leo kinakaimiwa.

Mungu yupo
 
Katika kosa lililofanyika awamu ya 6, ni kumuondoa Professor Shukuru Manya( msomi mzuri wa madini) na kumuacha Mwalimu Doto Biteko kuwa Waziri wa Madini’.
Kweli Tanzania imebadilika kuita kiasi, Cheo chake cha awali kule Tume ya Madini hadi leo kinakaimiwa.
Mungu yupo
Katika utumishi, hakunaga mtu spesho, yeyote anaweza akapewa; ndio maana ata mtu akifa, mambo yanaendelea hakuna kusimama.
 
Wewe unaishi nchi hii? Manya aliisha nyangwanywa huo unaibu Waziri, sijajua alipewa mzanzibar au mwisiramu, maana Sasahivi nipunguza wasoma rozali, ila ngoja nifungue mafaili yangu nione kapewa nani.
Na inawezekana ni yeye mwenyewe anakumbushia kwamba yupoooo,
Wasomi wa kizungu wajanja sanaaaa
Anataka tena uteuzi
 
Niko bitilo Kijijini kwake na tuna Jimbo kokoto
Hata yeye yupo huko alipo anafanya yake, yeye ni mstaarabu hafuatilii wewe unachokifanya. Kila mtu afanye yake tusipangiane . Wadau wamekujibu yupo bungeni, ukiweza kamchomoe umpe hiyo kazi ya kusaidia watanzania.
 
Hata yeye yupo huko alipo anafanya yake, yeye ni mstaarabu hafuatilii wewe unachokifanya. Kila mtu afanye yake tusipangiane . Wadau wamekujibu yupo bungeni, ukiweza kamchomoe umpe hiyo kazi ya kusaidia watanzania.
Nimekosa tusi la…
 
Back
Top Bottom