Kila taifa linajukumu la kusimamia elimu. Elimu ya nchi hutegemea kwanza public schools. Private ni kwa sababu maalum tu lakini nchi haiwezi kuinuka kuelimika kwa kutegemea private kwakua kwao focus ni commodification ya elimu.
Matokeo ya mtihani wa form 4 yanatupa sura ya nini kinaendelea kwenye shule zetu za serikali. Shule zetu zinafelisha sana. Vijana wetu kweli wanasoma bure lakini huenda ni bure iliyoghali sana. Nimefuatilia hata huo ufaulu unaosemwa kupanda umechangiwa na kupanda ufaulu shule za private. Huu mwendo si mzuri.
Nasikitika kwamba hata shule zile tunazoita maalum zinashuka kila mwaka. Ajabu ni kwamba hatujasema shida iko wapi? Waziri hajategua kitendawili mbali ya kupita anazunguka na kukemea wajenzi. Haipendezi watoto wa watanzania masikini wanapotezewa muda wao hivi.
Najua Prof. Ndalichako na makamishna wa elimu wote wanasomesha watoto wao private. Wapishi ambao hawakiamini wanachokipika, wanapika lakini hawali, wanakula mapochopocho kwa jirani. Asante sana mama. Mnawaza muendelee kututawala wanyonge kwakua mnajua watoto wenu ndio watapata elimu bora na watatutawala tena na tena.
Naomba upate siku utuambie tatizo nini shule za serikali? unakuta shule yote div 1-3 hakuna. Wote ni zero na four, hii ni society suicidal kabisa.
Kama huwezi mama wape wenye maono ya maana. Kama wizara ni kubwa, omba usaidiwe. Usiishie kuwachimbia mkwara walimu wakati huna mbinu mpya umewapa. Hujatoa dira mpya, unapita mulemule business as usual.
Nangu Mandokwa
Matokeo ya mtihani wa form 4 yanatupa sura ya nini kinaendelea kwenye shule zetu za serikali. Shule zetu zinafelisha sana. Vijana wetu kweli wanasoma bure lakini huenda ni bure iliyoghali sana. Nimefuatilia hata huo ufaulu unaosemwa kupanda umechangiwa na kupanda ufaulu shule za private. Huu mwendo si mzuri.
Nasikitika kwamba hata shule zile tunazoita maalum zinashuka kila mwaka. Ajabu ni kwamba hatujasema shida iko wapi? Waziri hajategua kitendawili mbali ya kupita anazunguka na kukemea wajenzi. Haipendezi watoto wa watanzania masikini wanapotezewa muda wao hivi.
Najua Prof. Ndalichako na makamishna wa elimu wote wanasomesha watoto wao private. Wapishi ambao hawakiamini wanachokipika, wanapika lakini hawali, wanakula mapochopocho kwa jirani. Asante sana mama. Mnawaza muendelee kututawala wanyonge kwakua mnajua watoto wenu ndio watapata elimu bora na watatutawala tena na tena.
Naomba upate siku utuambie tatizo nini shule za serikali? unakuta shule yote div 1-3 hakuna. Wote ni zero na four, hii ni society suicidal kabisa.
Kama huwezi mama wape wenye maono ya maana. Kama wizara ni kubwa, omba usaidiwe. Usiishie kuwachimbia mkwara walimu wakati huna mbinu mpya umewapa. Hujatoa dira mpya, unapita mulemule business as usual.
Nangu Mandokwa