Prof. Ndalichako anafaa kuwa Rais 2025

Prof. Ndalichako anafaa kuwa Rais 2025

Mkuu Chuo cha UDOM shida kubwa hawana hospitali na vitendea kazi vinavyokidhi vigezo. Kwa hiyo marekebisho ya UDOM yanahitaji muda mrefu na ukweli ni kwamba serikali haina pesa. Chukulia mfano wabunge walivyopigia kelele bajeti ya wizara ya elimu, sasa kama angeomba bilioni 15 za ujenzi wa hospitali Si ndo ingekuwa vita kabisa. Mambo mengine hatuna budi kuvumilia Ni makosa ya serikali zilizotangulia. Bora kuwa na madaktari wachache wenye ubora Kuliko wengi wasio na ubora unaotakiwa.
nimekupata kamanda ila yeye kama waziri wa elimu angebidi afanye mchakato wa kurekebisha
 
Na yule anayefatana nae, aliyesoma India kozi ya computer science ni nani yake.?
Naomba nikuhakikishie tena huyo simjfahamu ninavyofahamu na kwa uhakika wa asilimia 100..ana mtoto mmoja wa kiume huyo niliyemsema na first degree yake kafanyia Canada..Mume wake pia ana mtoto mmoja wa kike (sijui alisoma wapi)..ila yeye na mumewe hawana mtoto waliyezaa pamoja..hope this will help.
 
Hili wazo limenijia asubuhi hasa ukizingatia haya yanayoendelea ulimwenguni. Sijajua ni coincidence au ni mambo ya kupangwa lakini waweza kuona Marekani na Hillary, Ujerumani na bi Angel, Uingereza, Katibu wa UN mtarajiwa, A. Kusini,.. nk. Pamoja na huo upepo huyu mama ana utendaji mzuri
 
Napenda kuwashauri CCM kumjenga Kichama na kuuanza kumteua Prof Ndalichako katika nafasi mbalimbali za Chama na hatimaye kuja kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi 2025 kama Mwenyezi Mungu atamuweka hai. Katika uteuzi uliofanywa kwa maakini na Mhe. Magufuli ni uteuzi wa Prof. Ndalichako. Huyu Mhe. ni mkweli na anasimama kwenye haki. Nawakikishia baada ya miaka mitano elimu yetu itaboreshwa na shule zetu za Sekondari zitakuwa kimbilio la wanafunzi watakaomaliza elimu ya msingi kinyume na sasa kimbilio ni Shule za binafsi. Mhe.Ndalichako tunakuombea Mungu akuweka hai na uwe mzima na usimamie elimu yetu iliyokwishapoteza dira. CCM mjengeni huyu Mhe. ili 2025 tusitumie gharama kubwa katika kampeni ya Urais.
 
Napenda kuwashauri CCM kumjenga Kichama na kuuanza kumteua Prof Ndalichako katika nafasi mbalimbali za Chama na hatimaye kuja kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi 2025 kama Mwenyezi Mungu atamuweka hai. Katika uteuzi uliofanywa kwa maakini na Mhe. Magufuli ni uteuzi wa Prof. Ndalichako. Huyu Mhe. ni mkweli na anasimama kwenye haki. Nawakikishia baada ya miaka mitano elimu yetu itaboreshwa na shule zetu za Sekondari zitakuwa kimbilio la wanafunzi watakaomaliza elimu ya msingi kinyume na sasa kimbilio ni Shule za binafsi. Mhe.Ndalichako tunakuombea Mungu akuweka hai na uwe mzima na usimamie elimu yetu iliyokwishapoteza dira. CCM mjengeni huyu Mhe. ili 2025 tusitumie gharama kubwa katika kampeni ya Urais.
Sasa ndugu unafikiri CCM wengi wanafurahishwa na anayoyafanya? Uzoefu unaonyesha ukiwa hard worker na mtu anayefuata haki katika utendaji unaangaliwa kwa jicho lisilo zuri na chama chetu.
 
Duh! Mbona mtoa mada umeugeuza urais kama taasisi ya kujifunzia na kufanyia majaribio? Rais lazima awe na sifa za uongozi uliotukuka, maono na malengo yaani mission, vision na objectives zake mwenyewe mbadala na zile sera za chama chake. Haya tuambie, umempima wapi na kumwona na sifa hizo kuu? Urais wa majaribio mara nyingi hukosa uelekeo na tija kwani muda mwingi hupotea kwenye kujaribu mbinu za kiuongozi. Fikiri tena na huenda ukaja na jina la mtu anayefaa kwa nafasi hiyo. Mapendo yako yasiwahamishe wengine kufuata mile unachopenda wewe.
 
Haujamuona Makonda na Polepole kwenye mwanzo wa hizo mbio za Marathoni?


kuna watu walimpambamba sana polepole humu jf na nje ya jf muda c muda hata miaka miwili haikupita wakamponda na wanamponda WATZ wengi wepesi wa kusahau na kuhadaika
 
Izimada za chekechea, eti nawe taja wako ninani??!? Uko serious kweli! Yaani tupendekeze raisi Wa 2025 saizi? Yawezekana huyo umtajaye akawa mzuri kwenye elimu na sio urais. Pia yawezatokea mauzauza usitamani hâta kuskia sauti yake!
. Kwasasa tufanye kazi,mambo ya Rais Wa miaka miingi ijayo tumwachie Mungu. Tumpongeze tu mamayetu kwa kazi nzuri anayoifanya mpakasasa
 
Back
Top Bottom