Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Nakubaliana na utabiri huu. Lakini zengwe la CCM ataliweza?
Lini uliona marehemu na waliyodisco wanakwenda field?Usifananishe kuongoza wizara na kuongoza nchi
Mtihani wa kwanza tunamchora kwenye pesa za feild zinazocheleweshwa
Ungetumia lugha hii from the beggining tungeelewana mapema tu, ulichonitisha na ambacho niliendelea kuwa kinyume na wewe ni kuwaita wale waliotoka kuwa ni wezi na ni mafisadi! Nafikiri hata kama mkuu ameamua kuwaweka kando tuheshimu kazi waliyofanya, maana wengine inafahamika kuwa wamewekwa kando kwa sababu tu kwenye halmashauri zao walishinda wapinzani, na si ubadhilifu au wizi kama ulivyokuwa ukionyesha!
Kwa thababu anapendelea wathilithitu sio!? Acha hizo bhana, angalia maslahi mapana ya thaifa letu, mama anakwenda vithuli thana!sisi waithilamu hatutampa kura zetu
Kwenye siasa wiki tu ni nyingi sanaKwa speed ya huyu Mh. Waziri, umakini na uzalendo anaouonesha katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku katika kuisimamia wizara nyeti ya elimu pamoja na taaluma za wanataaluma wengine, waziri huyu anastahili kuwa Rais 2025. (2020 Rais atabaki huyuhuyu tuliyenae).
Mtaje wa kwako unaemuona anafaa pia bila kujali anatoka chama gani.
Usifananishe kuongoza wizara na kuongoza nchi
Mtihani wa kwanza tunamchora kwenye pesa za feild zinazocheleweshwa

Mtakuja kujua tu kua huyu mama ni mzigo. Mawazo yake yalishapitwa na wakati sana. Mifumo ambayo anataka kuileta ni very old, wenzetu walishatoka huku. Labda kwa suala la wanafunzi hewa hapo sawa lakini kutaka kubana ufauli bila kuzingatia miundo mbinu iliyopo kwa sasa ni kuwaumiza watoto wa kimaskini sana.Kwa speed ya huyu Mh. Waziri, umakini na uzalendo anaouonesha katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku katika kuisimamia wizara nyeti ya elimu pamoja na taaluma za wanataaluma wengine, waziri huyu anastahili kuwa Rais 2025. (2020 Rais atabaki huyuhuyu tuliyenae).
Mtaje wa kwako unaemuona anafaa pia bila kujali anatoka chama gani.
Usifananishe kuongoza wizara na kuongoza nchi
Mtihani wa kwanza tunamchora kwenye pesa za feild zinazocheleweshwa
He! Sexer umekuwa muislamu siku hizi?sisi waithilamu hatutampa kura zetu