Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
Mfano chuo cha udom kimefungiwa upande wa doctor of medicine sasa una jiuliza udom n chuo cha serikali yeye kama waziri alitakiwa kujua matatizo ya udom ili kuyarekebisha una po kifungia wakati atuna ma daktari n sawa na baba mwenye nyumba kukimbia nyumba yake kisa ina ufa