Prof. Ndalichako anafaa kuwa Rais 2025

Prof. Ndalichako anafaa kuwa Rais 2025

Mama Prof ndalichako ana mtoto mmoja tu wa kiume aliyefaulu vizuri A level kwa one ya point 7 na baadaye akaenda kusomesha first degree Canada na amerudi hapa bongo anapiga kazi bila msaada wowote wa mama yake..acheni uongo kuongea vitu ambavyo hamna uhakika navyo
point 7 kama ni B+,B+,B
mtoto wa kishua kupata hiyo ni kuwa ana uwezo wa kawaida.
 
Ni kweli mauzauza yasijetokea,maana leo ungemwambia lowsa hatakua rais asingeamini.
 
CV ya huyu mwanamama Prof Joyce Ndalichako imetukuka, pia utendaji wake katika kurudisha elimu iliyokuwa imegeuka kuwa kituko ni wa kutia matumaini sana. Hadi sasa sijaona Waziri mwenye akili timamu kama huyu mama.

Kwa maoni yangu, kama CCM itaendelea kuwa madarakani, huyu mama ndio mtu sahihi kuwa Rais wa nchi hii baada ya Magufuli
 
Prof. Ndalichako anapiga kazi vizuri sana. Tafadhali Magufuli tupe Ndalichako 2015
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Eti utendaji wake ni mzuri, tokea awe waziri sijaona cha maana alichofanya, anazidi kuivuruga tu elimu yetu.
 
Very backward thinker and anti prosperous kwa vijana. Badala ya kupambana kuona vyuo vinatoa viwango vya elimu anayodhani bora kusudi jamii iondoe maradhi sugu ya ujinga.

Yeye anakadhana kuzifungia tu hana sifa ya kuwa mwanasiasa wala kusimamia taasisi yoyote she is only useful as a lecturer or academic advisory position lakini hana sifa za kuongoza ata shule ya msingi hayuko progressive kabisa.
 
Back
Top Bottom