Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Ameshanusa harufu ya kipigo cha mbwa koko msimu ujaoo..akaona ya nini mie roho yanguuu...bora nisepe..huu ndo mwaka wa mwisho wa gongowazi kuchukua kikombe..
Riport zinadai.....Yanga atachukua ubingwa Hadi mwaka 2030
 
Angekuwa ni Baba yako kapata shavu sehemu mpunga kedekede ungemshauri Mzee baki hapa ukuze CV wakati mnakula ugali na sukari,Jinga sana wewe wenye akili wawili tu huko...
Kikubwa furaha ipo
 
Aliposema 1979Magufuli jana mlimshambulia sana.

Yanga hamna utamaduni wa kuacha watu waondoke wakati bado mnawahitaji. Tuliwaambia hivyo kwa Feisal, mkabisha kwamba hajafuata taratibu. Nabi kaondoka, mnalia huku mitandaoni kama vile kafa hadi mnamnenea mabaya na kudhihirisha wenyewe ule ukubwa mliokuwa mnampa kumbe haukuwa na uhalisia.

Bado Diarra, Mayele na Dickson Job.
Diara ,job na mayele bado wanamkataba hawaondoki

Nonda , msuva nk waliondoka na wakavuma sana kwahio ata Nabi anaweza kufanikiwa ni kocha mzuri
 
Diara ,job na mayele bado wanamkataba hawaondoki

Nonda , msuva nk waliondoka na wakavuma sana kwahio ata Nabi anaweza kufanikiwa ni kocha mzuri
Wacongo wengi unaowaona wanacheza hapa ni wa mkopo. Mayele akitaka kuondoka, Yanga haitaambulia hata senti. Nonda alipoondoka, Yanga haikupata kitu.

Hao kina Job na Diarra hata kama wana mkataba, wanaweza vunja kama alivyofanya Nabi (au mfano mwingine mbaya Feisal). GSM hawezi kukataa ofa nzuri, wakereketwa mtapigwa tu sound ila biashara itafanyika.
 
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi

Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia

Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa umaarufu mtu yeyote kiasi Kwamba anajaa then baadae atapotea ..,huu ulikuwa ni muda wa Nabi kuendelea kuikuza CV yake akiwa Kwa wananchi

NB: Time will Tell

View attachment 2658545
Dalili za uchawi ni nyingi, ila hii uliyonayo mleta uzi dio DALILI KUU
 
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi

Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia

Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa umaarufu mtu yeyote kiasi Kwamba anajaa then baadae atapotea ..,huu ulikuwa ni muda wa Nabi kuendelea kuikuza CV yake akiwa Kwa wananchi

NB: Time will Tell

View attachment 2658545
Tumuombee heri katufanyia makubwa. Binafsi Kaizer ntaichukulia kama Yanga B hivyo ntaisapoti kwa ajili ya Nabi.
 
Wacongo wengi unaowaona wanacheza hapa ni wa mkopo. Mayele akitaka kuondoka, Yanga haitaambulia hata senti. Nonda alipoondoka, Yanga haikupata kitu.

Hao kina Job na Diarra hata kama wana mkataba, wanaweza vunja kama alivyofanya Nabi (au mfano mwingine mbaya Feisal). GSM hawezi kukataa ofa nzuri, wakereketwa mtapigwa tu sound ila biashara itafanyika.
Mayele anacheza Kwa mkopo????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom