Prof. Mukandara amepanda texi leo (Big up!)

Prof. Mukandara amepanda texi leo (Big up!)

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,531
Reaction score
46,614
Nimefurahi kuona bado kuna watu wanaojali jasho la walipa kodi kwa kuto tumia mashangingi yanayobugia mafuta ovyo na infact yana-cost pesa nyingi sana za wavuja jasho. Big Up

Kudos Mukandara.
 
Umerogwa. ???? Ungesema baiskeli au bodaboda ningekuelewa. Unajua ataandika amemlipa mwenye taxi bei gani ? Mwenzio hakosi kuandika lakhi saba wewe kwa uzuzu wako unaona kupanda taxi ni cost cutting. I am sorry for your small mind and big head full of bones.
 
Hiyo taxi kapanda Mlimani City kuja utawala, kalipa 100,000/=
Actually nilivomuona taxi ilikuwa inaenda maeneo ya M/city..., pengine we ulimuona wakati anarudi.., Kalipa laki!! bullshit!!
 
Umerogwa. ???? Ungesema baiskeli au bodaboda ningekuelewa. Unajua ataandika amemlipa mwenye taxi bei gani ? Mwenzio hakosi kuandika lakhi saba wewe kwa uzuzu wako unaona kupanda taxi ni cost cutting. I am sorry for your small mind and big head full of bones.


Vilevile ajiulize je yaliyomsukuma kutumia huo usafiri ni mema?

Je ni kweli alikosa kabisa gari au dereva toka UDSM?
 
Kwa hiyo kupanda taxi ndio kutotumia pesa ya walipa kodi?

Unajua akirudi ofisini atadai wamrefund kiasi gani kwa taxi????

Angeihurumia pesa ya walipa kodi kama angepa da daladala au angedrive gari lake binafsi. Then atumie gari la ofisi akiwa ofisini tu muda wa kazi ukiisha gari liachwe ofisini yeye arudi na daladala au gari binafsi..... hapo kodi ingeokolewa



Nimefurahi kuona bado kuna watu wanaojali jasho la walipa kodi kwa kuto tumia mashangingi yanayobugia mafuta ovyo na infact yana-cost pesa nyingi sana za wavuja jasho. big up.., kudos Mukandara..!!
 
kuna watu humu akili zenu zina walakini, umeiona petty cash voucher yake ya transport?
 
.....nina mashaka na huo uamuzi....(hiden information):hail:
 
.....nina mashaka na huo uamuzi....(hiden information):hail:
Kwani kimefichwa nini.., sasa asipande texi.., we ulitaka atumie gari ya office ili kila mtu ajue kaenda kufanya shopping..??!
 
Unataka kusema nini..?! anamchepuko M/city au..??!

Francis you reason like a small boy. The question here is money my young brother. Mchepuko utafuatwa usiku watu wakisha jaza petty cash vouchers. Yule sio mjinga afuate mchepuko M.city wakati kwake ni nyuma ya Arthi institute. anapokutana na mchepuko hutomwona wewe japo anachepuka na vitu laini na vidogo yaani anatega na kokoro
 
Francis you reason like a small boy. The question here is money my young brother. Mchepuko utafuatwa usiku watu wakisha jaza petty cash vouchers. Yule sio mjinga afuate mchepuko M.city wakati kwake ni nyuma ya Arthi institute. anapokutana na mchepuko hutomwona wewe japo anachepuka na vitu laini na vidogo yaani anatega na kokoro
Hhahahahahahaha..., daaaaa.., ebana poa mkuu..., yaan anatumia nyavu haramu za kokoro..??! anatege vitu laini teketeke...., ahahahahahahahahah!!!
By the way kile kiwanja walichopewa makaburu kujenga soko la uchuuzi pale m-city chuo kinapokea gawio la kiasi gani kwa mwezi..??!
 
Hhahahahahahaha..., daaaaa.., ebana poa mkuu..., yaan anatumia nyavu haramu za kokoro..??! anatege vitu laini teketeke...., ahahahahahahahahah!!!

Unafikiri kwa nini watu wanagombea madaraka ? kula vitu laini kaka. kwa wanaokula ktmt wanaelewa tukisema nyama ya nguruwe mdogo sio zile za Mbeya.
Yaani vitu wanavyokula wenye nazo utashangaa under seventeen. Unakumbuka LULU walimuanza akiwa na umri gani ? sasa hv Lulu kwao ni skrepa wamemwachia Komba
 
Back
Top Bottom