Prof. Muhongo umetisha

Tanesco ilikuwa inauza nguzo tangu enzi za Mkapa, so ungeichukia serikali ya Mkapa kabla ya kikwete au serikali ya ccm kwa ujumla

Huyu waziri anaongea maneno matupu Tanasco hatoiweza... alijaribu Idrisa kuwanyoosha kwasababu ya siasa za kidin waka muondoa..

siasa tupu hamna kitu hapo..
Aisee...haya mambo ya dini yanawafanya wengine ubongo wenu uwe na matege...Nina assume kama angekuwa ni waziri anayeitwa Rashid katoka na wazo kama hilo ungemfagiliiiiia saana...Kama mtu ametoa na tarehe ya kuanza zoezi hilo kwanini tusisubiri kwanza tukaona kama hiki kitu kitatekelezeka kabla ya kuanza kupiga ramli zetu?
 
Ukifuata utaratibu utaambiwa nguzo hazipo, lakini ukiwapa bahasha nguzo inapatikana saa hiyo hiyo.
Hakuna watu wapuuzi nchi hii kama TANESCO.

Mwita mambo vipi za siku?? hutoki humu mkuu?

Ulishatoa bahasha nikufuate hapo ulipo (maana natafuta watu kama nyie)
 
Asipomezwa na system atafanya vizuri, la sivyo atapotea kama wengine na kuonekana mbaya hapo badae!! Akitaka kuheshimika, itabidi ajitahidi sana kupingana na system hata katika mambo yenye udhaifu!!
 
Aisee...haya mambo ya dini yanawafanya wengine ubongo wenu uwe na matege...Nina assume kama angekuwa ni waziri anayeitwa Rashid katoka na wazo kama hilo ungemfagiliiiiia saana...Kama mtu ametoa na tarehe ya kuanza zoezi hilo kwanini tusisubiri kwanza tukaona kama hiki kitu kitatekelezeka kabla ya kuanza kupiga ramli zetu?

Ha ha ha kwakuwa ni wa dini yako naona umeamua kumfagilia kama kawaida..lol

Huyo muongo hataiweza Tanesco, huo muda utafika mambo yatakuwa yaleyale lakini bahati yake si wa ile dini ya kulaumiwa ni ile dini ya kufagiliwa...

mtamfagilia sana lakini mtaendelea kununua nguzo, umeme juu..si mwenzenu bana?? akili imedumaa
 
Anashindwa nini kutoa maelezo yanayoeleweka kuhusu mgodi wa kiwira .


Kama alivyobanwa na Mh.Mkono, yeye alijibu kuwa unamaslahi binafsi na muuliza swali. Mkono alimwambia alishajibu kwa maandishi kutokana na kukosa nafasi ya kujibu kwa maneno Bungeni. Lakushangaza Spika alimlazimisha asijibu mpaka na yeye ahakikishe kuwa hilo jibu lipo kwenye taarifa za Bunge kimaandishi. Mh. Mnyika na Mh.Zitto waliomba mwongozo, ila Spika aling'ang'ania kuwa mpaka ajiridhishe yeye kwanza. Nafikiri amevutisha muda ili likatengenezwe jibu la kimagumashi. Sasa sijui hii ni kanuni ya Bunge ama uwajibikaji serikalini.
 
Mbona Anna Makinda anamkingia kifua Waziri wa Nishati na Madini? Ningefurahi sana kama bunge letu lingeweza kugeuka bunge la Ukraine hata kwa siku moja tu. Huyu mama ni DHAIFU na kichefuchefu pale bungeni.

.....Makinda ana maslahi na Prof. Muhongo; inasemekana katika uteuzi Makinda alihusika ktk kupendekeza hivyo Muhongo akiboronga Makinda atakuwa amemuingiza mkuu wa nchi kwenye mkenge.
 
Kama alivyobanwa na Mh.Mkono, yeye alijibu kuwa unamaslahi binafsi na muuliza swali. Mkono alimwambia alishajibu kwa maandishi kutokana na kukosa nafasi ya kujibu kwa maneno Bungeni. Lakushangaza Spika alimlazimisha asijibu mpaka na yeye ahakikishe kuwa hilo jibu lipo kwenye taarifa za Bunge kimaandishi. Mh. Mnyika na Mh.Zitto waliomba mwongozo, ila Spika aling'ang'ania kuwa mpaka ajiridhishe yeye kwanza. Nafikiri amevutisha muda ili likatengenezwe jibu la kimagumashi. Sasa sijui hii ni kanuni ya Bunge ama uwajibikaji serikalini.

........cha kushangaza Anne Makinda amesema kwanza hajui ''Waziri alikuwa anaongelea nini'' kwahiyo ameamua kutumia nafasi yake kukataa kuwapa nafasi waliokuwa wanaomba mwongozo vile vile kukataa hoja zao hii inaonyesha ni namna gani Spika wetu hayuko makini.
 
Tanesco ilikuwa inauza nguzo tangu enzi za Mkapa, so ungeichukia serikali ya Mkapa kabla ya kikwete au serikali ya ccm kwa ujumla

Huyu waziri anaongea maneno matupu Tanasco hatoiweza... alijaribu Idrisa kuwanyoosha kwasababu ya siasa za kidin waka muondoa..

siasa tupu hamna kitu hapo..

Arife akitajwa tu raisi dhaifu lazima uibuke toka mafichoni. Tehe tehe teheee.
Wana UAMSHO hawajambo?
 
Mwita mambo vipi za siku?? hutoki humu mkuu?

Ulishatoa bahasha nikufuate hapo ulipo (maana natafuta watu kama nyie)

Nipo mkuu Topical umeadimika sana.
Kuna taarifa zimezagaa mtaani kwamba wewe ndiye consultant wa UAMSHO, maneno ya kweli hayo?
Kama unataka bahasha we njoo tu, lakini vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Last edited by a moderator:
Nipo mkuu Topical umeadimika sana.
Kuna taarifa zimezagaa mtaani kwamba wewe ndiye consultant wa UAMSHO, maneno ya kweli hayo?
Kama unataka bahasha we njoo tu, lakini vigezo na masharti kuzingatiwa.

Mmepatia mkuu.(uamsho nawasupport nawasaidia) .tumeshaweka ajenda zetu hadharani Muungano ujadiliwe..nyinyi watu fitna na sirini lini mtajiweka wazi??

Huoni kutoa rushwa ni adui wa haki au ndio sera ya chadema?? musaidi prof. Muongo..kuboresha wizara kwa kukataa ruishwa..
 
Ha ha ha kwakuwa ni wa dini yako naona umeamua kumfagilia kama kawaida..lol

Huyo muongo hataiweza Tanesco, huo muda utafika mambo yatakuwa yaleyale lakini bahati yake si wa ile dini ya kulaumiwa ni ile dini ya kufagiliwa...

mtamfagilia sana lakini mtaendelea kununua nguzo, umeme juu..si mwenzenu bana?? akili imedumaa

Unaweza kunionyesha ni wapi nimemfagilia?
 
Nimetoka muda si mrefu kumsikiliza waziri wa nishati na madini na amefafanua kwa kifupi baadhi ya mambo ambayo ameamua kuyabadili kwenye utendaji kazi wa Tanesco. Kwa maelezo yake amesema kuanzia Mei 2012 mtu yeyote atayeomba kuunganishwa na Tanesco kupata umeme, anatakiwa kupatiwa huduma hiyo ndani ya mwezi mmoja.

Nadhani amefanya uamuzi wa busara, si tu kwetu wananchi bali atasaidia hata Takururu kwa upungufu wa rushwa kwenye kuunganisha umeme.

Kwa umeo wangu mdogo nafikiri huyu waziri atafanya mambo makubwa sana kama tu mipango yale ni kweli itatekerezeka kama inavoonekana.

Asante Muhongo
Kweli unauelewa mdogo, yaani jamaa amesema tu.. hata utendaji bado umeishamkubali. Nyie ndio mlidanganywa na pilau na kanga za CCM mkawapa mafisadi nchi yetu.
 
Nini maana ya UAMSHO??

Nyie Zenji ni wake zetu, hatuwapi talaka ng'o........hata mfanye nini!!!
UAMSHO watawaamsha kidogo kwasababu mpo usingizini.......lakini hatuwaachi nyie ni wake zetu wa Ndoa!!!

:dance::dance::dance:

Mmepatia mkuu.(uamsho nawasupport nawasaidia) .tumeshaweka ajenda zetu hadharani Muungano ujadiliwe..nyinyi watu fitna na sirini lini mtajiweka wazi??

Huoni kutoa rushwa ni adui wa haki au ndio sera ya chadema?? musaidi prof. Muongo..kuboresha wizara kwa kukataa ruishwa..
 
Utekelezaji ndio ishu... hao tanesco wana nguzo na waya? hata luku naskia hazipo
 
Nini maana ya UAMSHO??

Nyie Zenji ni wake zetu, hatuwapi talaka ng'o........hata mfanye nini!!!
UAMSHO watawaamsha kidogo kwasababu mpo usingizini.......lakini hatuwaachi nyie ni wake zetu wa Ndoa!!!

:dance::dance::dance:

Trying to provoke hunipati .. ...ha ha ha..

UAMSHO tunasonga mbele ndio maana "watanganyika wameamua kuchoma makanisa (anyway magofy yasiyo na waumini) yao wenyewe ili kupindisha hoja
 
Nimetoka muda si mrefu kumsikiliza waziri wa nishati na madini na amefafanua kwa kifupi baadhi ya mambo ambayo ameamua kuyabadili kwenye utendaji kazi wa Tanesco. Kwa maelezo yake amesema kuanzia Mei 2012 mtu yeyote atayeomba kuunganishwa na Tanesco kupata umeme, anatakiwa kupatiwa huduma hiyo ndani ya mwezi mmoja.

Nadhani amefanya uamuzi wa busara, si tu kwetu wananchi bali atasaidia hata Takururu kwa upungufu wa rushwa kwenye kuunganisha umeme.

Kwa umeo wangu mdogo nafikiri huyu waziri atafanya mambo makubwa sana kama tu mipango yale ni kweli itatekerezeka kama inavoonekana.

Asante Muhongo

Kwani Ngereja alianzaje?
 
Back
Top Bottom