mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,698
NduguMchembe ajue Gwajima ni msukuma, aangalie asije akadondoka
FYI
KM alikuwa Mshauri wa Rais wa masuala ya Afya, Ikulu
Ni mwezetu original
Huyo Waziri ni mwanasiasa wa huko mikoani
NduguMchembe ajue Gwajima ni msukuma, aangalie asije akadondoka
Wote hao wawili ni wasukumaMchembe ajue Gwajima ni msukuma, aangalie asije akadondoka
Bado anaendeleaNa Prof Mchembe msukuma.
Tena mke wake mkuu wa Wilaya(sijui kama alihama Gairo)!
Dorothy mnyiramba lkn ni mke wa msukuma kwahiyo ni msukumaN
Mnyiramba
Yaah! Unadhani yule mama asingekuwa na back up ya msukuma angedumu kwenye uDC kwa namna alivyovurunda pale Gairo??Yule aliyekuwa anatunishiana msuli na Shabiby ndio mke wa Prof Mchembe?
Waache siasa hao kina Mchembe.Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Mchembe amesema kuanzia sasa wasemaji wa maswala ya afya ni RMO kwa level ya mkoa na DMO kwa level ya wilaya...
Na Chalamila nae amekuwa msemaji wa wizara kule Mbeya.Kumbe fukuto la Waziri wa Afya kumtimua Daktari wa Wliaya Chunya limechukua sura nyingine...
Huyo Dorothy Gwajima ni mapepe sana, kazi kujimwambafai kama MhayaKumbe fukuto la Waziri wa Afya kumtimua Daktari wa Wliaya Chunya limechukua sura nyingine...
Kulikuwa na bifu la wanaume mkuu, we kausha tuKumbe fukuto la Waziri wa Afya kumtimua Daktari wa Wliaya Chunya limechukua sura nyingine...
Sasa kwanini huwa tunakuwa serious kwenye response ya Cholera (emergency operation centers, vituo vya karantini, daily data updates kutoka kila wilaya etc) ila kwenye corona tunasema haipo ipo haipo?Kadhalika Prof Mchembe amesema Corona ni ugonjwa wa mlipuko wa maambukizi kwa njia ya hewa kama ilivyo chorela kwa mfumo wa chakula.
Source ITV habari
Labda!Sasa kwanini huwa tunakuwa serious kwenye response ya Cholera (emergency operation centers, vituo vya karantini, daily data updats kutoka kila wilaya etc) ila kwenye corona tunasema haipo ipo haipo?
Prof. Mchembe kuna kitu anatamani kusema/kufanya ila uongozi wa Nchi labda haupo tayari
Maamuzi ya pupa kwa dr GwajimaKumbe fukuto la Waziri wa Afya kumtimua Daktari wa Wliaya Chunya limechukua sura nyingine....
Kumbuka Dr Gwajima ni medical doctor pia ukiacha nafasi yake ya UwaziriKumbe fukuto la Waziri wa Afya kumtimua Daktari wa Wliaya Chunya limechukua sura nyingine...
Na Mchembe pia ni Msukuma kama ulikua hujuiMchembe ajue Gwajima ni msukuma, aangalie asije akadondoka
Na Ana mdogo wake ni DAS Arumeru anaigiza kuvaa kama Nyerere anaitwa James MchembeNa Prof Mchembe msukuma.
Tena mke wake mkuu wa Wilaya(sijui kama alihama Gairo)!
Sasa hao RMO au DMO wathubutu kutoa taarifa ya corona; hapo ndipo utakapoona vurugu 'match'.Kumbe fukuto la Waziri wa Afya kumtimua Daktari wa Wliaya Chunya limechukua sura nyingine.
Profesa Mchembe, Katibu Mkuu Wizara ya Afya amesema rasmi kuwa ni jukumu la madaktari wa Wilaya na Mkoa kutoa taarifa za magonjwa ya milipuko ndani ya maeneo yao na si wanasiasa, akimaanisha Waziri.
Tamko hilo la Serikali ni kama kumweka katika nafasi yake Dr Dorothy Gwajima kuwa alivurunda kwa kumtimua Daktari wa Wilaya ya Chunya.
'MIGNON', huwa nakusoma, lakini sijawahi kukusoma hivi! GT.Prof.
Heshima kuu kwako!! Nina maswali machache ambayo naomba kama una wasaa utusaidie na ikiwezekana nawe unisikilize labda naweza kukufaa kwa leo.
Kwanza binafsi na kwa uelewa wangu na elimu kidogo niliyo nayo kuliza swali kuwa corona ipo au haipo kwa Tanzania ni kama kuuliza "mama mkwe kavaa nguo ya ndani ya rangi gani",hivyo sitauliza swali hilo.
- WHO wasema kuwa hamjatoa takwimu za corona tangu May 2020.Kama ni kweli ni sababu zipi ambazo zimefanya tusitoe takwimu hizo"
- Corona ni ugonjwa wa mlipuko lakini mpaka sasa tuna terminology mbili zimezuka,Pneumonia kali na changamoto za upumuaji.Magonjwa haya mawili yana uhusiano wowote na corona?
- Tuchukulie kwa mfano wewe kama Prof unaita waandishi wa habari na unasema haya yafuatayo,je utapata hasara gani?Maneno yenyewe ni haya,"Tanzania hatuna corona lakini corona ipo nchi jirani.Kwa kuwa tuna muingiliano na mataifa haya naagiza yafuatayo,abiria ndani ya vyombo vya usafiri vya watu wengi wavae barakoa,kila nyumba iwe na maji tiririka na sabuni....................."
Profesa hana muda wa kujibu maswali kama hayaProf.
Heshima kuu kwako!! Nina maswali machache ambayo naomba kama una wasaa utusaidie na ikiwezekana nawe unisikilize labda naweza kukufaa kwa leo.
Kwanza binafsi na kwa uelewa wangu na elimu kidogo niliyo nayo kuliza swali kuwa corona ipo au haipo kwa Tanzania ni kama kuuliza "mama mkwe kavaa nguo ya ndani ya rangi gani",hivyo sitauliza swali hilo.
- WHO wasema kuwa hamjatoa takwimu za corona tangu May 2020.Kama ni kweli ni sababu zipi ambazo zimefanya tusitoe takwimu hizo"
- Corona ni ugonjwa wa mlipuko lakini mpaka sasa tuna terminology mbili zimezuka,Pneumonia kali na changamoto za upumuaji.Magonjwa haya mawili yana uhusiano wowote na corona?
- Tuchukulie kwa mfano wewe kama Prof unaita waandishi wa habari na unasema haya yafuatayo,je utapata hasara gani?Maneno yenyewe ni haya,"Tanzania hatuna corona lakini corona ipo nchi jirani.Kwa kuwa tuna muingiliano na mataifa haya naagiza yafuatayo,abiria ndani ya vyombo vya usafiri vya watu wengi wavae barakoa,kila nyumba iwe na maji tiririka na sabuni....................."