Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.
Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".
Source: ITV habari.
My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
...........................................................................
UPDATES.
Shirika la reli limeandika kuwa umbali kutoka DAR mpk Moro ni km 300 na speed ya treni ni 160 kmph. Kimahesabu ni kwamba treni hiyo itatumia saa 1 na dk 52 (~2 hrs), ukiongeza na saa 1 la kuisimamia na kupakia unapata masaa 3. Huu ni muda sawa na wa mabasi.
Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".
Source: ITV habari.
My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
...........................................................................
UPDATES.
Shirika la reli limeandika kuwa umbali kutoka DAR mpk Moro ni km 300 na speed ya treni ni 160 kmph. Kimahesabu ni kwamba treni hiyo itatumia saa 1 na dk 52 (~2 hrs), ukiongeza na saa 1 la kuisimamia na kupakia unapata masaa 3. Huu ni muda sawa na wa mabasi.