Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?

Mayala, Katiba iheshimiwe. Miaka kumi kama akishinda, inatosha. Mbarawa yuko vizuri namkubali pia. Hana mihemko na ana busara, ana heshimu wafanyakazi kwa kutoae maelekezo ya kama kiongozi. Kassimu yupo vizuri pia. anajali sheria ingawa anazidiwa na
 
I prefer Prof. Mbarawa kuwa mgombea mwenza wa Rais Magufuli 2020. Mama Samia Salum kuwa mgombea urais Zanzibar baada ya Rais Shein kustaafu Makame Mbarawa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania 2025.
Prof Mbarawa ni very very genius na anafuata nyayo ya Rais Magufuli ni mtu anafaa sana kuwa President wa Tanzania baada ya Rais Magufuli.
Ni zamu ya Antipas Lissu
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali,
Naanza kwa swali la msingi, Jee Tanzania, Tuanze Utamaduni wa Kuwaspoti Watanzania Presidential Materials, na KuwaGroom ili Tupate Rais Bora, Au Tuendelee Kuwaacha Tuu Yoyote Anayeutaka Urais, Awe Hata Kama Sio Presidential Material?.

Sifa za Urais wa Tanzania.
Nafasi ya urais wa JMT, inashikwa na raia yoyote wa JMT mwenye sifa na vigezo. Tangu JMT imezaliwa mwaka 1964, hadi leo Zaidi ya miaka 53, ni Mtanzania mmoja tuu kutoka Zanzibar, aliyekidhi sifa na vigezo hadi kuweza kuwa rais wa JMT, Wazanzibari wengine wote wenye sifa waliojaribu, hawakuweza kupata kutokana na kuzidiwa sifa na vigezo na wagombea kutoka bara, matokeo yake hadi leo sisi bara ni 4 kwa 1 Zanzibar. Hali hii ilipelekea nikashauri
Je, kunahitajika affirmative action ili Mzanzibari aweze tena kuwa Rais wa JMT?

Lakini leo, baada ya kumsikiliza Mtanzania huyu ambaye ni Mzanzibari, kiukweli kabisa, nimemkubali sana kuwa ana kidhi sifa na vigezo hadi sifa za ziada za nationalism ya Utanzania kwanza, na ni mzalendo wa kweli, kwa sababu kwa kauli na matendo, amethibitisha pasi shaka kuwa yeye kwanza ni Mtanzania, kisha ni Mzanzibari, wakati kiukweli kabisa, kwa Wanzanzibari walio wengi, wao kwanza ni Wazanzibari kwanza, kisha ndio Watanzania.

Hebu msikilize Prof. Mbarawa.


Tuwachagize Presidential Materials Wagombee?.
Kuna Watanzania wengi wenye sifa za kutuletaa rais bora kabisa, lakini wengine hawana vyama, wengine wala hawauwazi urais, hivyo wanapotokea watu wenye sifa kama Prof. Mbarawa, unaweza kukuta ndio wale type ya watu hawauwazii hata huo urais, lazima wachagizwe, hata katika hao wagombea Zaidi ya 40 wa CCM ile 2015, sio wote waliutaka urais, kuna baadhi walifuatwa na kuchagizwa kwenda kuchukua fomu na kugombea, hivyo mnaonaje wale wote wenye presidential personalities, or presidential materials, tuwachagize waanze kufikiria kugombe.

Hitimisho, Tusisubiri Marais Wajitokee Tuu, Tuanze Kutengeneza Marais.
Kuna kauli isemayo, leaders are born and not made, Mimi ni muumini wa good leaders are made, besides kuwa born, hivyo lets start making our leaders by grooming them to be good leaders. Kwa upande wangu kwa 2020, nimeishamspoti mmoja kutoka upinzani,
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha ...

Na kwa 2025, niliishamspoti mmoja.
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa ... - jamiiforums.com
huyu Prof. Mbarawa ni wapili, tuendelee kuwaibua presidential materials ili kufikia 2025, tupate viongozi bora, japo mimi binafsi niko kwenye lile kundi tunaotaka 2025 katiba ibadilishwe Magufuli aendelee kama nilivyouliza hapa.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Namalizia kwa lile lile swali la msingi, Jee Tanzania, Tuanze Utamaduni wa Kuwaspoti Watanzania Presidential Materials, na KuwaGroom ili Tupate Rais Bora, Au Tuendelee Kuwaacha Tuu Yoyote Anayeutaka Urais, Awe Hata Kama Sio Presidential Material?.
Jumamosi Njema,

Paskali
Wewe umtakii mema Prof Mbarawa.
 
Imagine hawa vijana 2 ( Mak.../Mwig....) mmojawapo angekuwa Rais ingekuwaje!!! Kama wamepewa viwizara tu kimyaaaaaaaaaaa hata mambo yanayowahusu hawaongei.
 
Ankal umeniwahi...nilishamuona Prof muda sana na nikamuweka kiporo!! Kwa siasa za kubadilishana bara na zbar hasa Pemba nadhani hapo ni sahihi....ingawa naona kuna mchuano mkali kwa HM.....ingawa anaweza enda akapata nafasi ya Shein akamalizia political career yake Zbar.....Bara amuachie Prof.....mara nyingi huwa nalia na utaratibu hasa kwa mfumo vyama vingi ni shida kwa syetem kutengeneza viongozi??.....maana wat attach chama tawala mwisho itakuwa sio fair sana kwa wapinzani....najua hadi sasa JM , MN(Dr) wameandaliwa kuwa viongozi mbeleni......baada ya hapo nani ameandaliwa , utaratibu gani utakaofuata?????......
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali,
Naanza kwa swali la msingi, Jee Tanzania, Tuanze Utamaduni wa Kuwaspoti Watanzania Presidential Materials, na KuwaGroom ili Tupate Rais Bora, Au Tuendelee Kuwaacha Tuu Yoyote Anayeutaka Urais, Awe Hata Kama Sio Presidential Material?.

Sifa za Urais wa Tanzania.
Nafasi ya urais wa JMT, inashikwa na raia yoyote wa JMT mwenye sifa na vigezo. Tangu JMT imezaliwa mwaka 1964, hadi leo Zaidi ya miaka 53, ni Mtanzania mmoja tuu kutoka Zanzibar, aliyekidhi sifa na vigezo hadi kuweza kuwa rais wa JMT, Wazanzibari wengine wote wenye sifa waliojaribu, hawakuweza kupata kutokana na kuzidiwa sifa na vigezo na wagombea kutoka bara, matokeo yake hadi leo sisi bara ni 4 kwa 1 Zanzibar. Hali hii ilipelekea nikashauri
Je, kunahitajika affirmative action ili Mzanzibari aweze tena kuwa Rais wa JMT?

Lakini leo, baada ya kumsikiliza Mtanzania huyu ambaye ni Mzanzibari, kiukweli kabisa, nimemkubali sana kuwa ana kidhi sifa na vigezo hadi sifa za ziada za nationalism ya Utanzania kwanza, na ni mzalendo wa kweli, kwa sababu kwa kauli na matendo, amethibitisha pasi shaka kuwa yeye kwanza ni Mtanzania, kisha ni Mzanzibari, wakati kiukweli kabisa, kwa Wanzanzibari walio wengi, wao kwanza ni Wazanzibari kwanza, kisha ndio Watanzania.

Hebu msikilize Prof. Mbarawa.


Tuwachagize Presidential Materials Wagombee?.
Kuna Watanzania wengi wenye sifa za kutuletaa rais bora kabisa, lakini wengine hawana vyama, wengine wala hawauwazi urais, hivyo wanapotokea watu wenye sifa kama Prof. Mbarawa, unaweza kukuta ndio wale type ya watu hawauwazii hata huo urais, lazima wachagizwe, hata katika hao wagombea Zaidi ya 40 wa CCM ile 2015, sio wote waliutaka urais, kuna baadhi walifuatwa na kuchagizwa kwenda kuchukua fomu na kugombea, hivyo mnaonaje wale wote wenye presidential personalities, or presidential materials, tuwachagize waanze kufikiria kugombe.

Hitimisho, Tusisubiri Marais Wajitokee Tuu, Tuanze Kutengeneza Marais.
Kuna kauli isemayo, leaders are born and not made, Mimi ni muumini wa good leaders are made, besides kuwa born, hivyo lets start making our leaders by grooming them to be good leaders. Kwa upande wangu kwa 2020, nimeishamspoti mmoja kutoka upinzani,
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha ...

Na kwa 2025, niliishamspoti mmoja.
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa ... - jamiiforums.com
huyu Prof. Mbarawa ni wapili, tuendelee kuwaibua presidential materials ili kufikia 2025, tupate viongozi bora, japo mimi binafsi niko kwenye lile kundi tunaotaka 2025 katiba ibadilishwe Magufuli aendelee kama nilivyouliza hapa.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Namalizia kwa lile lile swali la msingi, Jee Tanzania, Tuanze Utamaduni wa Kuwaspoti Watanzania Presidential Materials, na KuwaGroom ili Tupate Rais Bora, Au Tuendelee Kuwaacha Tuu Yoyote Anayeutaka Urais, Awe Hata Kama Sio Presidential Material?.
Jumamosi Njema,

Paskali
 
Hebu acheni ujuha,

Rais ndo kwanza ana miaka miwili mshaanza kumuota mrithi wake,

Badala ya kumbana aliyepo ajikite kwenye huduma za kijamii, elimu, afya awekeze nguvu huko, mnawaza mrithi,

Hivi tutatoka lini kwenye huu ujinga, Maradhi na umasikini?

Tumbane huyu ili hata atayekuja ajue kuwa naongoza watu si maroboti

Watz mnaboa saba

Hii ni dalili ya kukata tamaa!
 
Mayala, Katiba iheshimiwe. Miaka kumi kama akishinda, inatosha. Mbarawa yuko vizuri namkubali pia. Hana mihemko na ana busara, ana heshimu wafanyakazi kwa kutoae maelekezo ya kama kiongozi. Kassimu yupo vizuri pia. anajali sheria ingawa anazidiwa na

miaka kumi katiba ya wapi ?
wacheni ulevi wa kuifanya katiba ya ZANUPF akaMACCM kuwa katiba ya nchi.
 
Atasapotiwa na Mungu aliyemwokoa

Anayetembelea magongo hawezi kuongoza! Kabla ya kutaja majina ya watu 'presidential material' tujikite kwanza kuainisha aina ya nchi tunayohitaji pamoja na vigezo vya kiongozi wake mkuu ajaye. Kwanza kabisa nadhani tunahitaji nchi xa jamii iliyostaarabika inayothamini uhai wa binadamu na inayochukia ulaghai wa aina yoyote katika kutafuta uongozi wa kisiasa. Pili, more than anything else, nchi hii sasa inahitaji kiongozi mkereketwa wa haki za binadamu; uncompromising kwenye suala la haki za binadamu na raia. Tunataka kiongozi jasiri ambaye atatambua kuwa jukumu lake la kwanza ni kuthamini na kulinda kwa nguvu zote uhai wa kila raia na hivyo kutumia akili yake yote na mamlaka yake yote kuung'oa huu ushetani unaonyemelea nchi yetu wa kudhani usalama wake unahitaji baadhi ya raia kunyang'anywa uhai.
 
Back
Top Bottom