Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,467
- 2,861
Wadau,Paskali tatizo la Professor Mbaruki hachaguliki kwao,kajaribu mara mbili hakuwavutia wazanzibari kwa lolote.
Presidential materials kama akina JF Kennedy, Julius Nyerere, Ronald Reagan,Baraka Obama wana sifa mbili kuu mvuto na speech eloquence.
Huku kwetu mara nyingi tunalazimisha impossibles ,wachache wanaamlia wengi.
Huwo mvuto haupatikani shuleni ni natural.
Dr. Shein sio great orator kama Obama, JFK au Regan; yet alipenya.
Huenda "bahati kama hiyo" akaipata Prof. Mbarawa.
Maana siasa hapa duniani, pamoja na umahiri wa kujieleza, bahati nayo huwa ipo.