Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
He is very clean na mchapa kazi asiye na makuu. Nilipata kusafiri naye ndege moja bila kujua kama ni Waziri kwa jinsi anavyojishusha. New comer kwenye CCM hana makundi. Ni Presidential material. Ni mojawapo wa mawaziri wachapa kazi na wanaofata nyayo za Rais Magufuli kwa kuchukia UFISADIPamoja na mengine, Sifa kubwa anayotakiwa kuwa nayo Rais wa Tanzania ni uwezo wa kupambana na ufisadi
Akiwa na uwezo wa kudhibiti ufisadi itakuwa msafi tu automatically yeye binafsi maana huwezi kuwa unaona na kula peke yako, si rahisi
Sasa tupe historia ya profesa mbarawa katika suala hili.