Wizara inapambana na heavy weights.Hii wizara ni ngumu sana waziri Maghembe wanataka kumgeuza mbuzi wa kafara.Sitoshangaa operesheni mbalimbali za kukomesha ujangili zilizotekelezwa karibuni zikasababisha kibarua chake kuota nyasi.Kaghasheki yalimkuta pia baada ya kukamata shehena kuwa ya meno ya tembo Mikocheni.
Inahitaji watu makini sana.
Tena wababe wenye ujuzi na mbinu za hali ya juu.
Maghembe hawezi fua dafu pale baada ya Balozi Kaghasheki. Haswaa baada ya poor performance ya wizara zake chini ya JK.
Ni kama vile aliwekwa ili achemshe kisha asaulike ha ha ha