Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Kwani ww cuf.Huo ni ushauri kapewa na wazee wachama pamoja na wanachama wwnye busara
Kwani mwanzon akati anasaliti si alishauliwa na wazee wa chama pamoja na wanachama wenye busara wakiomba chondechonde asiwaache. Mbona hakuwaskiliza ??? Leo wakati wa kuvuna ndo anaona umuhim wa ushaul wa wazee na wanachama ???.
Wakati anafanya uharibifu wa mali napo alishauliwa na hao uliowaita wanachama wenye busara??? Ukijibu hayo maswal tutaelewana tuu.

LIPUMBA NI SAWA NA CHITEMO WA SHULE YA MSINGI ALOKIMBIA HOME AKIJUA AMEULA ILE HALI SADICK NA BABA AKE WAKISOTA NA JEMBE SHAMBANI MWISHOWE KILICHO MKUTA NADHANI UNAJUA MWENYEWE!!.
 
Hivi kama kuna wanajeshi wanisaidie!!

Eti askari (haswa kamanda) akitoroka wakati wa vita, baadae mkapigwa. Baada ya hali kuwa shwari anarudi na kudai cheo chake. Hiv mtu huyu mnampa adhabu gani?!
 
Aanze harakat za kuomba uanachama upya ikiezekana na kuomba kuna pande mbil kukataliwa kulingana na records za nyuma za mwombaji au kukubaliwa kulingana na records za nyuma za mwombaji
 
Yaani suluhu sahihi ni kumtimua tuu. Watapatanaje na msaliti mamluki? Aanzishe chama chake au ajiunge na ACT
 
Nashangaa siku za hivi karibuni mtu akiitwa profesa anakasirika sana, anaona umemzarau.
Duuh! fani ya usomi bwana imetiwa giza na uprofeseli.
 
Namuomba profesa pumba akaendelee na kufanya utafiti huko Rwanda maana bado hajaleta ripoti ya utafiti wake kiuchumi was nchi ya Rwanda!!!
 
mwenzao maalimu wamemwekea mkumi na wamealikana watawala wa nchi zote 2, sembuse hako ka prof uchwara? kwishney, ameisoma namba namba za kirumi.
 
Aendelee kulala Officin si ndio aliona ni suluhisho
 
Hivi humu JF hakuna hata member mmoja ambaye alifundishwa na Prof. Lipumba, kama yupo atuambie alivyokuwa anatoa mhadhara, usahihishaji wake, "ukamataji" wake? and the like
 
Nadhani Prof. atabainisha mzizi wa firina hii. Mojawapo ni wale walio vamia ukawa waliokua wakiupinga. Uvamizi ulitumia nguvu ya pesa, ila unaweza kuondolewa kwa kutumia akili kubwa (think tank). Hongera prof.
 
Kumbe anajua kuna mazungumzo ee...

Sasa kwanini asingeanza na hilo kabla ya kutumia mabavu?
Ni suala la chama, kilichomfuta uanachana ni chama kupitia baraza kuu la Taifa, sasa hata akikomaaa atafanya kazi na nani
 
Back
Top Bottom