Asingeingia hivyo angeingia basi kama alivyofanya Lowassasikatai mkuu...lakini kakiri kosa na katubu...mbona lowasa alitubu na cdm wakampokea ?
Acha uchochezi mwana LumumbaMaalim Seif yampasa kutumia fursa hii ya mwisho aliyopewa na Mwenyekiti wa CUF Mheshimiwa Prof.Ibrahim Lipumba, la sivyo atapoteza vyote.
Asante dadanguWewe ndio unaaminika? Acha upumbavu wako
Kiongozi na katibu mkuu wa CUF anayepaswa kustaafu siasa sasa.
1. Amekuwa CHANZO cha uhasama na migogoro ndani ya CUF na ndani ya zanzibar kwa kuwagawa wazanzibar Kati ya wapemba na waunguja.
2. Ameshiriki kufitini viongozi wa zanzibar na Bara. Rejea marehem JUMBE.
Si mtu wa kuwekewa mfano kwa viwango vyovyote vile. Na sasa animalistic CUF kwa maslahi binafsi.
Kiongozi na katibu mkuu wa CUF anayepaswa kustaafu siasa sasa.
1. Amekuwa CHANZO cha uhasama na migogoro ndani ya CUF na ndani ya zanzibar kwa kuwagawa wazanzibar Kati ya wapemba na waunguja.
2. Ameshiriki kufitini viongozi wa zanzibar na Bara. Rejea marehem JUMBE.
Si mtu wa kuwekewa mfano kwa viwango vyovyote vile. Na sasa animalistic CUF kwa maslahi binafsi.