Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Upo sahihi Yunguru, mbaya wenu ni "mroho hasa"
 
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.

Kajilipua mwenyewe
 
Mimi nafikiri ni too late, sidhani kama maalimu seif anaweza kutengua maamuzi ya kamati iliyomfukuza Lipumba
 
Back
Top Bottom