Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Lipumba anawatia aibu wasomi!Sasa huyu ndiye anayesema anaweza kusaidia nchi kutoka kwenye umaskini wakati yeye mwenyewe ana NJAA!!
Huyu sio hata mtu wa kumwongelea!

Siku zote Ma Profesa Dunia nzima huwa hawaeleweki kwa Wapumbavu na Malofa! Wewe T-Shirt lako la Team Wapumbavu na Malofa la wakati wa Uchaguzi bado unalo?
 
kitu ambacho Prof hajui ni kwamba account zote za chama na kila kitu kipo kwa kina maalimu. hawezi kusafiri hawezi kutumia fedha za chama bila idhini ya katibu mkuu.

kipindi alichoondoka walibadili kila alichotakiwa kufanya kama mwenyekiti. hata angekaa ofisini mwaka mzima hawezi kupata fedha za chama

kuomba poo ni lazima kama sio leo kesho ama keshokutwa.
 
sasa hivi imekua vigumu kumtofautisha msomi na mjinga hapa tanzania.(maana ukitaka kujua uelewa wa mtu mpe nafasi ya kusema au kutenda)
Hata humu JF imekuwa vigumu kutofautisha pumba za wanachadema na fikra huru za Act wazalendo.
 
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
Nao usalama wa CUF upo wapi kama lipumba atendelea kushikilia wadhifa wa juu?
 
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
Hatutaki katusumbua sana tena na genge lake la wahunu walimpiga dada wa watu sikupendezewa na kitendo kile cha wafuasi wake. Wakati anajiuzuru niliandika humu jamii forum nilisema akirudi kwenye siasa nita muuliza kwa kimombo (Prof. you do not keep your words as a public figure)
 
kitu ambacho Prof hajui ni kwamba account zote za chama na kila kitu kipo kwa kina maalimu. hawezi kusafiri hawezi kutumia fedha za chama bila idhini ya katibu mkuu.
Kitakacho fanyika ni mwenyekiti halali wa kafu. ataandika barua zenye nakala kwenye vyombo husika, account ya dharura itafunguliwa fedha za ruzuku zitamwagiwa humo..kama namuona prof.akipiga mruzi wa furaha all the way to the bank.
 
Taarifa kutoka chini ya kapeti ni kwamba CUF wamerejesha mjengo wa Buguruni kwa mmiliki na tayari mchakato wa kupata ofisi mpya umeshafanywa tarehe 01/10/2016 mtajulishwa Pro Pesa hana chake kazidiwa ujanja haaa haaa.
 
hahahahahahahahahahaha.....kila nikimfikiria huyu prof ovyo najenga taswira ya maprof wetu bongo naona kabisa tuna haki miaka 50 kuwa hivi hivi
 
Unafanya mchezo na kulala nje nini, nimesikia CUF wanarudisha jengo kwa mmiliki.
 
Hivi humu JF hakuna hata member mmoja ambaye alifundishwa na Prof. Lipumba, kama yupo atuambie alivyokuwa anatoa mhadhara, usahihishaji wake, "ukamataji" wake? and the like


wanafunzi wake lazima wajifiche mkuu ata mimi angenifundisha nisingekubali kujitambulisha
 
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
Halafu mnapomu address kama Mwenyekiti wa CUF mnakera sana.
Mtu kishafukuzwa Mpaka uanachama
 
Kitakacho fanyika ni mwenyekiti halali wa kafu. ataandika barua zenye nakala kwenye vyombo husika, account ya dharura itafunguliwa fedha za ruzuku zitamwagiwa humo..kama namuona prof.akipiga mruzi wa furaha all the way to the bank.

Protocal za kibank zinakataa maana walishaandika barua bank kutomtambua na kumbuka katibu mkuu ndio mtendaji. Lakini...
 
Protocal za kibank zinakataa maana walishaandika barua bank kutomtambua na kumbuka katibu mkuu ndio mtendaji. Lakini...
BARUA YA MSAJILI ITABARIKI,KUMBUKA RUZUKU INATOLEWA NA SERIKALI.
 
Safi kabisa professa. Huu ni mwanzo mzuri wa part 2 ya movie hii tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu baada ya part 1 kumalizika ambayo prof alitoka kidedea.
Mkuu naona kama vile unajitia kidole mku..uni halafu halafu unanusa harufu ya kinyesi.
 
Wewe motto wa sultani....hujui siasa za Tanzania.....Seif kanasa mtegoni......kasha!
Umekosea ....tena kwa mbali, nakueleza hakuna mwanasiasa aliebaki hai Tanzania ambae mwerevu kuliko Seif.. Tatizo lake moja tu...ubinafsi
 
Back
Top Bottom