He hee usinambie wamekua mabest na shetani kiasi cha kupitiana. ..Alipitiwa tu, shetani mbaya
njaa ni kitu hatari sana hasa ikipanda hadi kichwani.Njaa ni kitu kibaya
Kuendekeza tamaa ni mbaya zaidi...
wazee wa kushinda kwenye miti Limumba wakinywa Gahwa utawajua tuGo prof. go,go....
believe on lipumba
Kwani ww cuf.Huo ni ushauri kapewa na wazee wachama pamoja na wanachama wwnye busaraHatutengui uamuzi wa Kumtimua msimamo uko palepale hatufugag nyoka sisi
cuf wa uswahilini, jinsi wanavo mchukulia prof lipumba, kukiwa tu na maridhiyano ya lipumba kubaki na uwenyekiti wa chama, ndio itakuwa mwisho wa cuf uswahilini
Huyu kishatimuliwa kwenye chama na BARAZA KUU , Maalim Seif hana mamlaka ya kumrejesha , aende kwa Mutungi .Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.
Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.
Gazeti Mwananchi linaandika.
Mkuu mm ccm ila namkubali sana prof mkuuLazima uwe toka chama cha MAJANI
sasa hivi imekua vigumu kumtofautisha msomi na mjinga hapa tanzania.(maana ukitaka kujua uelewa wa mtu mpe nafasi ya kusema au kutenda)Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.
Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.
Gazeti Mwananchi linaandika.
mshawishi ahamie ccm kabla hajaenda kokote,maana hana chama kwa sasa.Mkuu mm ccm ila namkubali sana prof mkuu
Mkuu mm ccm ila namkubali sana prof mkuu
Imebaki historia kwamba aliwahi kuwa mwanachama wa CUF. Baraza kuu limeshamfuta hana chake CUF arudi CCM akaombe cheoLipumba kaonyesha uongozi kwa kumpatia Maalim Seif fursa ya kujirudi kabla hajamfukuza. Mara nyingine kama huelewi siasa ni bora utembelee hata jukwaa la jokes kuondoa stress.
Professor kageuka security guard analala offisini kulinda vitasa