Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Mgombea wa KudumuAlitaka asimame yeye!
Mgombea wa KudumuAlitaka asimame yeye!
Harakati zote za Ukombozi huambatana na mamluki, wasaliti nk ,: wakati huu ni wakati wa mapambano haitakiwi kuhangaika na wanao rudi nyuma
Sisi Wtz tuna matatizo. Unamkebehi lipumba unamshangilia fisadi lowassa?
Slaa na Lipumba ni wasomi wanajielewa hawawezi kuendelea na hizi sarakasi za ukawa.
Huyo ni Prof ana uwezo wa kuishi nchi yoyote na kufanyakazi pahala popote dunia na ana heshima yake zaidi ya siasa uchwara za tanzania
Sisi Wtz tuna matatizo. Unamkebehi lipumba unamshangilia fisadi lowassa?
Huyo Prof wa kweli maana ameweza on hatari iliyopo mbele ya Ukawa, kaona bora ajiweke kando kuliko kuidhalilisha taaluma yake kwa tamaa ya wachache, hivyo bado naona kabisa bado vyama vya upinzani hawajawa tayari kushika dola, na watazidi kuishika kwa hisia tu mpaka atapo kuwa tayari kwa kuweka wazalendo wenye nia na dhamila ya kweli na si dhamila iliyobebwa na mengine nyuma ya pazia, hongera prof. I.Lipumba na wengine wote waliona hatari kabla ya hatari
Je bado ana nia ya kuitoa CCM madarakani? Msimamo wake ni UPI sasa?
Mnakomboa nini?