Prof. Lipumba arejea nchini

Prof. Lipumba arejea nchini

Heko Pr Lipumba Kwa kujitambua na kutokubali kula matapishi,maana fisadi papa Leo hii ugeuze Kiswahili na kumremba ni aibu kubwa dawa Yake ni Kama ulivyofanya wewe ni msomi mzuri
 
Yaani mtu unathubutu kumdharau Prof.Lipumba kwa ajili ya Lowasa!!Nimeamini hii nchi inaongoza kwa watu wenye IQ ndogo duniani.
 
sema yuda arejea nchini alafu antembea kwa wasiwasi kama mtu aliye toroka jela
 
Ok ye si kajiongeza baada ya kuona kafulila anakamatwa na sis tunamuongeza sur name yaka alafu weka Vu
 
Kamaliza utafiti na huyu jamaa
 

Attachments

  • 1439622123806.jpg
    1439622123806.jpg
    32.9 KB · Views: 359
Mwacheni arudi ameshahakikishiwa usalama, labda alihisi atafanyiwa fujo wakati CUF wapo ngangariiiii tena kinoma.
 
Tunakomboa wadogo zetu ambao mpaka karne hii hawana madawati ya kukalia shuleni.Pia na mama zetu ambao wanajifungulia chini maana hospitali za serikali hakuna vitanda.

Hao wanafunzi mbona wa sudan ya kusini?
 
Sasahivi ndiyo dhamira inamsuta kweli, amejichafulia sana historia yake katika mambo ya siasa.

Huyo ni Prof ana uwezo wa kuishi nchi yoyote na kufanyakazi pahala popote dunia na ana heshima yake zaidi ya siasa uchwara za tanzania
 
Azma yake ya ukawa kupasuka imeshindikana sasa karejea kuja kuunganisha nguvu na DR Slaa kumpinga Lowasa waziwazi.Kwa sasa hawana tofauti na hilo
 
Usije kuta sisi Watanzania hatukujielewa tuu. Pengine mabadiliko yamechelewa sana kwa zaidi ya miaka Ishirini kwa sababu ya kuwa na viongozi wa Upinzani aina ya Lipumba.
Huwezi kuwa na mpinzani ambaye kwa miaka ishirini anaamini kazi yake ni "Ugombea Urais" na hajuti kushindwa bali kwake ni sifa hata anajinadi wakati mwingine kuwa huyo aliyeshinda amemsaidia pia.
 
watanzania wasiojielewa na ambao wanalazimishwa kuandamana hovyo huku wakisababisha uvunjifu mkubwa wa amani na kufanya uhalifu mitaani a.k.a panya road wa kisiasa wa chadema na ukawa.

Umeshindwa kukomboa watu na umasikini maradhi na Ujinga Uje kuwakomboa wakiwa wanaonyesha hawana tena imani na CCM??
 
Back
Top Bottom