Ndugu zangu, ili nchi hii tuikomboe katika mikono ya wanyang'anyi umakini mkubwa sana unahitajika.
Niseme tu kwamba, CCM ni chama ambacho kimekua madarakani tangu uhuru wa nchi hii tangu kilipoitwa TANU. Sasa basi, si rahisi chama hichi cha kidicteta kukubali kuachia ngazi kirahisi na ukizingatia kwamba, hawakutegemea haya mabadiliko ya ghafla namna hii mithili ya gharika.
Juzi tumeona wakimtumia Mr Pumba kama walivyomtumia 2005 wakijua ungetokea mpasuko mkubwa sana UKAWA, japo MUNGU alitunusuru kwa kuwa huu ni mwaka wake. .sasa tuongeze sala na umakini kwa huu ujio wa pili ili lengo la ibilisi lisitimie...
Sasa yufanyeje? Chakufanya ni kufwatilia nyenzo na mienendo yote ya Profesa Pumba ili, asipate kabisa mwanya wa kuingiza pumba zake katika ngano, na pia tumpuuzeni huyu Pumba kwa kila pumba atakayotoa.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI UKAWA