PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
tunahanza kupata mashaka na uprofesa wake,
Karibu Prof.. Njoo umwage ukweli namna Wachaga walivyouza nchi kwa mafisadi.. Watanzania wanasubiri kauli yako msomi uliyekataa kutumika na mafisadi.
watanzani sasa tunajielewa, zile zama za kutugeuza geuza umeshakwisha. Kama ulitumwa kutusambaratisha pole,sisi tunasonga mbele...... Profesa Lipumba alisema alikuwa nchini humo akifanya utafiti kuona namna gani Tanzania inaweza kujifunza mambo ya kiuchumi kutokana na nchi hiyo kupiga hatua kubwa katika sekta hiyo.
![]()
![]()
Slaa na Lipumba ni wasomi wanajielewa hawawezi kuendelea na hizi sarakasi za ukawa.
tunahanza kupata mashaka na uprofesa wake,
Lipumba anachekesha sana, anasema hakubaliani na ukawa kumpitisha lowasa wakati alikuwepo kwenye mchakato mzima, huu ni ujuha!! Mbona hakuonyesha kupinga toka mwanzo?