uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,459
- 904
Kama Msigwa alivyosema mnaomwamini Lowassa mkapimwe akili sa sijui kama mlipimwa kweli ikiwemo na msigwa mwenyewe!Mkuu tunasubili kujionea ni nani sasa mwenye matatizo ya akili.
Kama mbowe alivyokua kiboko ya wanafiki wa ufipa kwa kubadilishia gia angani na nyie vibendera fata upepo ikawalazimu kubadilishia gia angani hukohuko.Tusubili tuone, Magufuli ndio kiboko ya wanafki wote kama Polepole.
Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Du Magu anawaweza kweli kweli baada ya polepole ss anafuata huyu jamaa. Kumbe alikua anawaonea donge wanaoteuliwa issue haikuwa uhaba wa wahadhiri.
Mhadhiri kakubali kuteuliwa kiroho safi najua katengua ile kauli yake ya raisi asiteue waadhiri
Utakuwa mtoto wa Jana wewe, yote hayo ni mazao ya ccm.Sumaye alipokuwa waziri mkuu hakuna kitu alichofanya Zaidi ya ufisadi wa kujilimbikizia mali....Sumaye ndio amechangia sana umasikini wa nchi hii.....
siamini labda kama unataka ligi tu na haupo serious.
Sio mimi mkuumkuu vipi bado unahisi kati ya sisi na wewe nani ana matatizo ya akili?
Ni kama polepoleNayeye akikubali uteuzi atakuwa ana matatizo ya akili pia?
Aliyekubali huo uteuzi ndio punguwani wa akiliMkuu tunasubili kujionea ni nani sasa mwenye matatizo ya akili.
Kama kweli yupo sahihi, YEYE ameteuliwa na Rais leo, kwanini hajakataa uteuzi huo????!!!Yupo sahihi
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima