Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

Mkuu tunasubili kujionea ni nani sasa mwenye matatizo ya akili.
Kama Msigwa alivyosema mnaomwamini Lowassa mkapimwe akili sa sijui kama mlipimwa kweli ikiwemo na msigwa mwenyewe!

Wanasiasa washawageuza watu kama mazuzu tu.
 
Tusubili tuone, Magufuli ndio kiboko ya wanafki wote kama Polepole.
Kama mbowe alivyokua kiboko ya wanafiki wa ufipa kwa kubadilishia gia angani na nyie vibendera fata upepo ikawalazimu kubadilishia gia angani hukohuko.
 
5bfec471cae44aa8116a704a21b07fdb.jpg

Mhadhiri kakubali kuteuliwa kiroho safi najua katengua ile kauli yake ya raisi asiteue waadhiri
 
5bfec471cae44aa8116a704a21b07fdb.jpg

Mhadhiri kakubali kuteuliwa kiroho safi najua katengua ile kauli yake ya raisi asiteue waadhiri
Du Magu anawaweza kweli kweli baada ya polepole ss anafuata huyu jamaa. Kumbe alikua anawaonea donge wanaoteuliwa issue haikuwa uhaba wa wahadhiri.
 
Sumaye alipokuwa waziri mkuu hakuna kitu alichofanya Zaidi ya ufisadi wa kujilimbikizia mali....Sumaye ndio amechangia sana umasikini wa nchi hii.....
Utakuwa mtoto wa Jana wewe, yote hayo ni mazao ya ccm.
 
Mwanafasihi Ayi Kwei Armah kutoka Ghana aliwahi kutuletea Novel nzuri ijulikanayo kama

" The Beautyful Ones Are Not Yet Born ".

Wala hakukosea, inasadifu yaliyopo katika jamii yetu ya leo.
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom